Bi Khadija
Member
- Aug 20, 2018
- 79
- 237
Kuna watu niliwahi sema walinivutia sana kuja Jamii Forums. Mmojawapo ni gudume. Huyu uandishi wake,visa na mikasa yake ilinifanya niingie JF kila siku kutaka msoma.
Ameongezeka Boss Kiduku Lilo. Huyu jamaa anajua kuandika,hana ugomvi,hana matusi, ana pesa na si mtu wa wanawake anavyoonekana.
Mimi sijui ukweli wake upo wapi.lakini napenda sana fuatilia nyuzi zake.zinanitia uchungu wa maisha na pia napata burudani. Najenga picha anapokuwa anaandika anakuwa anakunywa juice miguu kaweka juu amejilaza kivivu.
Ni mwanaume anayejiamini na mwenye utulivu. Akitukanwa wala hajibu.anaonesha kuwa na dharau kwa watu wasio muelewa. Nmejikuta tu nmekuwa mpenzi wake.
Wakati mwingine inachosha kusoma habari za majonzi,shida,mateso ,umaskini na unyonge kila siku. Tunataka mambo ya kuburudisha na kupumzisha akili. Ndo maana nikasema leo ngoja nisome hasa hii trip yake ya Bagamoyo nimeipenda sana.
Ni hayo tu kaka na dada zangu.tusiwe tunaponda siku zooooote.sometime hata tusifie mazuri.
Ameongezeka Boss Kiduku Lilo. Huyu jamaa anajua kuandika,hana ugomvi,hana matusi, ana pesa na si mtu wa wanawake anavyoonekana.
Mimi sijui ukweli wake upo wapi.lakini napenda sana fuatilia nyuzi zake.zinanitia uchungu wa maisha na pia napata burudani. Najenga picha anapokuwa anaandika anakuwa anakunywa juice miguu kaweka juu amejilaza kivivu.
Ni mwanaume anayejiamini na mwenye utulivu. Akitukanwa wala hajibu.anaonesha kuwa na dharau kwa watu wasio muelewa. Nmejikuta tu nmekuwa mpenzi wake.
Wakati mwingine inachosha kusoma habari za majonzi,shida,mateso ,umaskini na unyonge kila siku. Tunataka mambo ya kuburudisha na kupumzisha akili. Ndo maana nikasema leo ngoja nisome hasa hii trip yake ya Bagamoyo nimeipenda sana.
Ni hayo tu kaka na dada zangu.tusiwe tunaponda siku zooooote.sometime hata tusifie mazuri.