Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
AminaMimi pia mkuu ..barikiwa sana
AminaMimi pia mkuu ..barikiwa sana
Mkuu ukipata time naomba uniandikie old scul song zote ambazo ni classic ... Nilikuwa nawaangalia milli and vanili Daahh ngoma yao ilikuwa kali sanaAmina
Mkuu ukipata time naomba uniandikie old scul song zote ambazo ni classic ... Nilikuwa nawaangalia milli and vanili Daahh ngoma yao ilikuwa kali sana
Nilikuwaga naisikia but sikuwa najua kwamba wao ndio waimbaji fake
Nitashukuru sana mimi nimpenzi sana wa old scul .. kuna wimbo 1 wa Gloria Stephan nautafuta but nimeusahau jinaNtakupa 100 classic hits
Alikuwa kula kulala. Enzi za Azim Dewji na Abbas GulamaliEnzi hizo Mo yupo wapi?
Unadhani tabia za huko kwenu ndio tabia za watu wote?
Hizo zote za juzi tu mitaa ile,za kitambo ilikuwa ni camp bar pamoja na Madison square pale Tabata bima na hapo Jirani na Mandela ya kitambo ni maruma bar.Mandela Bar. ..naifahamu ya zamani sana hiyo Bar.tulikuwa tunafika kule kupata maji...Kimanga napafahamu.