Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,440
Mbona jamaa ameeleweka vizuri tu labda urudie upya kusomaTotal bullshit,"matajiri wengi na waajiri wengi hawakusoma"nikisikia hii sentensi huwa napata mashaka na ubongo wa watu wanaoamini huu upuuzi,kwa hiyo vijana wasiende shule kufanya uhandisi,Udokta,uhandishi Ili wawe matajiri!
Huu mtandao unaoutumia kupost uzi wako,unafikiri ulitengenezwa na kijana wa Darasa la saba?
Founder wa jamii forum kasoma engineering DIT.
Facebook,whatsaap,hizo gari za babako unazolingia unafikiri zimetengenezwa na vijana wa veta,ni wasomi,wahandisi waliobobea wanaokuwekea mifumo inayokufsnya ufuraie maisha.
Unazijua data centre za makampuni ya simu?pale kuna vijana ma engineer to usiku na mchana wanapiga kazi kuhakikisha mifumo inaenda vzr,ikuwezeshe wewe kupata mawasiliano bora,na huduma nyingine.
Tatizo la Afrika sio kozi wanazosomea vijana,udakitari,uhandisi,tatizo hakuna ajira,fulsa,
Ulaya na US,kumejaa vijana kutoka Asia,wanafsnya IT,uhandisi,Udakitari,
Kama kujiajiri ni rahisi,wewe hapo umesema upo unakula na kuenjoy mali za wazazi,lakini huna hata genge/biashara ulioajiri hata mtu mmoja!!!
Lakini unataka wsliozaliwa kutoka familia maskini watengeneze ajira!
Unafiki mkubwa!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app