Ngo ngo ngo.....Wenyewe hodi

ng'wanankamba

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
345
118
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Jamii Forums toka ikiitwa Jambo Forums.Kila siku lazima niingie humu ili kujua kinachoendelea hapa nchini na dunia nzima kwa ujumla kwenye nyanja mbalimbali kama siasa,uchumi,michezo, masuala ya kijamii nk.Lakini waswahili wanasema" Ukitaka kuujua uhondo wa ngoma uingie ucheze" Nami nimeona niingie ili niweze kuchangia.
 
Karibu Mkuu Ng'wanankamba. Tunasubiri mchango wako.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom