Ngo,ngo,ngo,ngooo! Wenyewe jf mpooo!

Chapoo

Member
Sep 4, 2011
18
3
Nimezaliwa ndani ya wanajf,naomba kupokelewa ktk familia ya wanaJF! Nimekuja na kahawa ili vijana wasilale ktk ukombozi halisia.Je,kuna nafasi jamvini?
 
Hee...jamani mkaribisheni huyo, humsikii anavo gonga kwa nguvu, atavunja mlango. Ingia tu na viatu usivue.
 
Back
Top Bottom