Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
habari za kazi za kujenga taifar wana jamii wengi wenu mnaweza mkafikiri kuwa mimi ni mgeni humu jukwaani ni kweli ila co mgeni kwa kiac hicho ni mgeni kwa ku post & reply thread ila ni mwenyeji sana sana wa kusoma tu thread na replies za member(tangu des 2006) ILA leo nimeamua niwe memba kabsa wa jamii forum nipokeen wana jamii kwa shangwe japo tuna mcba mzto uliotukumba zanz NA wenz2 kenya na kongo ................assalaam alleykum