Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,717
Habari wadau, nimejaribu ku google ila nimeshindwa pata NGO zilizopo Tanzania zinazo dili na kuokoa Tembo wetu hapa Tanzania. Article zingine ni za zamani na ni habari tu lakini sijaweza pata specific NGO ya kuweza kuwa contact.
Naomba mdau yeyote mwenye jina na mahali ilipo ofisi yeyote ya NGO inayohusika na kuokoa tembo wetu wanaomalizwa na hawa akina nanihii, nina idea nataka niende kuongea nao tuone kama tunaweza ifanyie kazi na ninauhakika itakua na nguvu sana katika kuokoa hawa viumbe wanaotoweka!
The tiumph of evil is when good people do NOTHING!
Naomba mdau yeyote mwenye jina na mahali ilipo ofisi yeyote ya NGO inayohusika na kuokoa tembo wetu wanaomalizwa na hawa akina nanihii, nina idea nataka niende kuongea nao tuone kama tunaweza ifanyie kazi na ninauhakika itakua na nguvu sana katika kuokoa hawa viumbe wanaotoweka!
The tiumph of evil is when good people do NOTHING!