Elections 2010 Ng'jhili avunja ukimya, na kusema 'CHADEMA in struggle for independence'

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
Re: Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?
Ndugu zangu, nimechelwa sana kujibu tuhuma dhidi yangu kwani ni mimi Dickson Amos Ng'hily ndo nilituhumiwa kumtukana Rais Kikwete....Nway mengi yamesemwa..Ndugu zangu...ninachoseam ni kile kile nilichowaambia police....sikumtukana rais coz urais ni taasisi na kamwe siwezi kuitukana..ninaiheshimu sana...ila mimi nilimuongelea bwana mmoja anaitwa Kikwete....Na yale niliyosema siyo matusi...na ukweli sikusudii na sitarajii kuomba msamaha kwani ninaamini nilichokisema siyo tusi...Na ukweli sijutii nilichokisema na hata polisi niliwaeleza na ndio maana baada ya kuhojiwa kwa saa tano...waliniachia huru na kunipa onyo kuwa japo sio tusi ila wanaomba nisirudie kusema maneno kama hayo.....Wanaotaka maelezo zaid wanaweza kuwasiliana na mimi moja kwa moja kwa kutumia barua pepe yangu ya nghily@hotmail.com au dick333amos@yahoo.com au kwa simu ya kiganjani ya +255 71 553 9602, na +255 75 453 9602

Asanteni kwa michango yenu....

Kwa mtindo Huu Chadema basdo ipo kwenye mapambano,, na inaendelea kusaka Kura za 2015, uraisi na wabunge majimboni,, naomba tuiunge mkono kwanguvu ya watuuu

Peeeeoooopleeeee..........:israel:
 
Asante tuko pamoja 2015 nakwenda kugombea ubunge kupitia chadema nitatangaza mwakani 2011.Lazima ccm ING'OKE 2015
 
Itakuwa vyema Maana mimi nakwenda pia.. Young Power in the Bunge ndiyo itatupa credits Tanzania 2015
 
Tunashukuru kwa maelezo yako na cha msingi ni kuhakikisha watanzania wanafahamu manen uliyosema, kama ni hayo hata mimi naoni si tusi hata kidogo.

Tujipange kwa ajili ya 2015 watanzania wapo tayari kulinda kura kwa hali na mali.

Kazi kubwa kwa sasa ni kuhakikisha chokochoko za hawa mawakala wa CCM inakoma maana chadema tulikuwa na adui CCM na sasa wameongezeka hadi wanne, ambao ni CCM, NCCR,TLP na CUF

Mungu ibariki Chadema na Viongozi wake, Mungu ibariki TZ
 
Tangu mwanzo nilijua no case to answer ila ilikuwa ni vihelehele wa CCM wanaotafuta vyeo vya hisani maana hivyo ndivyo vitolewavyo na CCM walilifanya issue ili kikwete awaone bora.

Hivi mambo anayoshadadia Makamba unadhani huwa yana maana? Ni mzee aliyehishiwa hekima na sasa hivi anatumia mdomo kufikiri. Hivyo anasema lolote tu.
 
Huu ndio ujasiri unaotakiwa katika kuleta mageuzi ya kweli. hakuna kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa wala kungija mtu akupe kisogo ndo uanze kung'ong'a.

Hapa ni uso kwa uso, njumu kwa ugoko mpaka kieleweke. Siwezi kubali watoto wangu waje umia na ujuha wa viongozi makunguni wanyonya damu za wanye kitanda utadhani tumelalia vitanda vyao na ushuru ni damu zetu.
 
Ng'hili mwenyewe anasema kwayeyote anayehitaji Card ya Chadema mpigienisim hizo mutampata
 
Tunaomba ufikishe kwa viongozi wa chadema swala la kuwa na database ya wanachama online
 
Hata kama sitapata ridhaa ya Chadema kuwania ubunge kwenye jimbo langu, nitafanya harakati kuhakikisha kuwa jimbo ninalotoka na lile ninaloishi hayatawaliwi na CCM. MUNGU nisaidie
 
mHUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU, Hatimaye methali zageuka kuwa matusi! Kuanzia sasa mimi naanza kumwuliza babu na bibi yangu maana ya methali kabla ya kuzitumia?!
 
Haya tutaona hapo mutapoingia ikulu namna mutavotukana watanzania ....muungu aepeshe mbali....
 
Ile methali haikuwa na tatizo. Mie tatizo nililoliona ni pale huyo bwana aliposema ' Kikwete hakufunzwa na mama yake....' It was uncalled for. Angeishia kwenye hiyo methali watu wasingemlaumu. Lakini kumhusisha mama yake haikukaa vizuri. Kuna watu wengi wasiompenda Kikwete lakini hawakufurahia hili.
 
Hata kama sitapata ridhaa ya Chadema kuwania ubunge kwenye jimbo langu, nitafanya harakati kuhakikisha kuwa jimbo ninalotoka na lile ninaloishi hayatawaliwi na CCM. MUNGU nisaidie

pamoja daima
peoplesssssssssssssssssssssssssssssssss power
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom