Ng'hily Kuhojiwa na Police Kanda Maalum

Hii CHADEMA legal team hovyo kabisa, yaani inakuwa available for consultation kwa bwana ngili lakini sio kwa Mbowe au nao consultation zao ni dabo standard?
 
Nimejifunza kutokana na haya yanayoendelea...ukiwa polisi na umbo kubwa kama lile la operations directory ndio upuuzi wako nao unavyozidi kuwa mkubwa....polisi wa leo naona wameishiwa maarifa...wamebaki kutumia nguvu tu kutatua matatizo yanayowakabili. Hawajui limitation za kutumia mechanical systems I guess....hawatafika mbali unless they become sophiscated.
 
Pale central upande wa traffic kuna canteen nadhani wanata wateja kesho ili wauze vyakula vyao, trust me Mbowe amechukuliwa kwa mbwembwe zote kupelekwa Arusha lakini baada ya kufikishwa mahakamani hakimu akasema Mbowe hana kesi ya kujibu.
Usifadhaike kamanda hizo ni porojo tu za jeshi la polisi.

Hivi mtu kupewa dhamana ina maana hana kesi yakujibu ? kweli mtindio wa ubongo umejaa maji. Na kuhusu Ng'hily wewe nenda tu kajibu mashtaka, kwani wakati unatumiwa mbowe hukuweka thread humu JF kuwa unatumiwa ? usitake tukuonee huruma wakati umeyatafuta mwenyewe, na dola haina msamaha na mambo hayo !
 
When you there go with your lawyer! Una haki ya kuhojiwa peke yako au in presence ya lawyer wako au mtu unayemwamini!
Nadhani polisi wetu sasa hivi wanafunguka kichwa kidogo kidogo ili mradi mtu kama mkubwa wao hawaingilii katika utendaji wao wa kazi!
 
Nimekupata na asante kwa maelezo yako. Bila shaka nina maswali kadhaa ninayotaka kuuliza hasa ukizingatia kuwa mimi sio mwanasayansi wa kisiasa au mwanasiasa wa kisayansi (political scientist).

Tatizo langu ni kuwa haya maelezo yamekaaa kinadharia sana na yanaonekana kuelea sana hewani (abstract). Kwa mtazamo wangu naona kama hayajanisaidia sana kuelezea hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na Africa kwa ujumla. Kwa lugha nyingine naona kama maelezo yako hayajakidhi kiu yangu ya kuijua ile "scientific approach" uliyoiongelea awali lakini kwa muktadha wa mazingira ya Tanzania yetu.

Mfano unaposema "positivism", "interpretivism", "structuralism" au "post structuralism" una maana gani kwa muktadha wa siasa za Tanzania kwa sasa. Je mwelekeo wa siasa wanazofanya mfano watu wa CCM au CHADEMA au CUF zinaangukia katika kundi gani kati ya hayo uliyoyataja hapo juu.

Je wapinzani wanatakiwa watumie "approach" ipi katika mazingira ambayo chama kimoja kina mamlaka yote ya dola, ikiwa ni pamoja na bunge na mahakama na kinaweza kutunga na kutekeleza sheria zinazokipa mamlaka ya kukandamiza uhuru wa vyama vinavyokipinga? J watumie positivism, interpretivism, rational choice theory, behavioral, structuralism, post-structuralism, realism, institutionalism au pluralism? Je wanatekelezaje hizo approach kama wakiamua kuzifuata au kwa lugha nyingine ni ipi kwa mtazamo wako inafaa kufuatwa na wapinzani wa tanzania ili wafikie malengo yao ya kuking'oa chama tawala ambacho nacho kingependa kuendelea kutawala milele?.

Naomba ufafanuzi ili kama bado nina maswali niyaulize.

Ahsante sana kwa maswali yako na nimefurahi sana kuona kuwa u mweledi wa kutaka kuupaza weledi wako kwa kuniuliza maswali, waswahili hunena "aulizae ataka kujuwa".

Kwa ajili maswali yako yanalenga kujiongezea weledi wako na kwa kuwa itakuwa ni raha zaidi nikikupa majibu yenye kina cha kuridhisha, nachukuwa fursa hii kukusihi uhamishie haya maswali jukwaa la elimu, huko nnafunguwa nyuzi mpya kwa ajili hii tu. Ili tusiiharibu mada ya nyuzi hii nnakuomba uje huko ili tuendelee. Hii hapa ni link ya hiyo nyuzi: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aswali-ya-tata-kwa-faizafoxy.html#post2074593

Wengine wote wenye shauku ya Ilm mnakaribishwa.
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

Unataka kutuambia kuwa Polisi hutekeleza amari za mahakama kwa viongozi na wananchma wa CHDEMA tu, zinzpotolewa dhidi ya wananccm kwa mafano Fisadi cheneg alipoamriwa kukamatwa na mahakama ya Kinodnoni mabona Kova na Chagonja hawakufanya chochote?

Amani inavunja na CCM na viongozi wake ambao ni mafisadi ambao wanafuja fedha za Serikali kama vile mtu mmoja kuchukua mashangingi 20 ya Serikali yaliyojaza watumishi wa Serikali mbali mbali kwenda kutazam ujenzi wa hekalu lake huko Msoga linalojengwa na fedha za kufuja mali ya umma.

Kama mnajiamini kuwa wananchi wanawapenda kubalini kuweka Tume Huru ya Uchaguzi halafu tuingie katka uchaguzi. Wizi wa Kura unaofanywa na CCM ndio unavuruga demokrasi yetu hapa nchini.
 
Sio kosa lako akili za Nape hizo. Mwaka mtatumwa wengi, ila sisi mwendo mdundo. magamba polisi hawawezi siasa za CDM mtachemsha tu.

Na wewe??? Sijui uko kwa ajili ya nani?? Any way; ni uhuru wako "kumtumikia kafiri ili upate mradi wako"

Wakuu kila siku me huwa nasema mkiona huyu Faiza ameandika comment ni kumuacha na ku ignore comment zake hana jipya zaidi tukimjibu tunapoteza muda wetu.

Achana na bwg huyo hana maana yeyote wanahangaika na viposho wanavyopewa na chama cha magamba 'eti walete mashambulizi jukwaani' mwisho wao umefika.. Go on! go on!.. Freedom is coming 2moro..

Hawa ndio wametumwa na UVCCM ya Nape kushambulia JF... arguing like someone who has never seen the inside of a classroom. Ushauri wa bure washauri CCM watumie scientific approach kuwaletea watz maisha bora sio bora maisha.

Na kwa ugamba wake anaona umaarufu, dawa kuachana na post za kijinga

Wenzetu mnaruhusu wake wengi kwa mume mmoja. Wewe una wake wenzako wangapi?

Kauli ya pandikizi la Nape na mmoja wa vibaraka wa vibakauchumi ambao Nape anatamba amewapadikiza kwenye blogs mbalimbali ikiwemo hii ya JF.
Kama kawaida yao, hawana haya wala soni. Ni aibu yao kujali njaa zao zaidi kuliko hali ya mtanzania. Mwisho waukuwadi wenu u karibu na wanamapinduzi kazeni buti kuwang'oa wahuni hawa. Polesana Faizalfoxy, mwambie Nape na wahuni wenzie wameshindwa kabla hawajaanza! Kifo kwa CCM.

Hivi uliingia lini kwenye payroll ya Nape!

Faiza, i never intended to reply to your message but imenikera sana. Kwanza nakusikitikia kwa hukumu uliyotoa kwa mwananchi ambaye ameamua kupigania haki yake ya msingi ya kutokukubaliana na kile kinachofanywa na watawala. Pili ingawa ni haki yako kutoa maoni lakini si haki kutoa hukumu, umenisikitisha na kunikera, siamini. Kwa haraka haraka either una nufaika na mfumo unaotunyonya wengi au uko katika harakati za siasa za maji taka
pole dada yangu na nakutakia kila la kheri

utaumia bure,iq yake huyo imesha expire,ndo maana kajifananisha na foxy

Hapa ulikuwa unafanya nini? Ushindwe kabisa!

attachment.php

<br />
<br />
FaizaMBWAA unataka kusema hapo ndo mwisho wako wa kufikiri? Hata ivo tumeshajua unatumika kwaiyo watu makini hawana hofu na Faiza MBWAA.

hii ni naibu dadangu unajidhalilisha sana,najua ni njaa tu huna tofauti na tambwe

FaizaFoxxy nimesoma posts zako kwa siku chache nilizizoanza kuchungulia humu ndani!! Nimegundua kitu kimoja!
Kwa uwezo wa kufikiri:- FaizaFoxxy = Jakaya Kikwete
Think outside the box my dear!!

Faizafoxy, Democrasia siyo kuvaa vimini na kukaa uchi mbele ya kandamnasi: kama umesahau maanake, omba uelimishwe bure.

Demokrasia maana yake ni kuandamana na kuwa "mpiganaji" au sio?

Eti wamawatuma watu mitandao ya Jamii, Kufanya nini? Nadhani wanahitaji somo la social media! Sijawahi ona popote watu wakitumwa kusocialize! Hivi CCM hawana Mathink Tanker? naona matenka yao yamejaa maji machafu!

Umeshapewa elfu zako 2 za siku ya leo??

Faizafoxy maana ya democrasia utaijua, mkivuliwa magamba kwa nguvu ya umma.

Tatizo lako faizafoxxy unafikiri baada ya kuandika,

Faiza faiza faiza ndo nn sasa?mnamvimbisha kichwa bureeeeeeeeeeee,CDM kamandaz bullshit huyo faiza,tujadili la huyo kamanda wetu.

Unajitaidi sana kuwatafutia watu ban,hizo ni dalili za u**laya.

Atakuwa kashalipwa, huoni alivyokazana kutoa majib yasiyo na kichwa wala miguu. Hawa njaa itawaua. Mtu mwenye akili hawezi kuuza UTU wake kwa buku mbili.

[/COLOR]Sasa nimeelewa kichwa yako ilivyo,nilijua wanakuonea,hivi unuwakika unacho kinena kuhusu MM hapo kwenye red,kwanini unapenda kuchakachua kila kitu,au ndio ulivyo fundishwa na Kiravu+ Makamba+Tambwe?

Bulls Sheet from Nape thinking tank

FAIZAFOXY? Hili jina limenikumbusha mbali sana! Tulipokuwa shule mwanamke anayepigisha sana na ambaye ananuka tulikuwa tunamwita FAIZAFOXY.

Wewe hujajichunguza hata unapojiponda mwenyewe na posts zako zinazojipinga na kujipinda. Sidhani kama ni punguani wewe.

Hivi umeolewa kweli wewe,au umeshaachika kwa NAPE,basi nenda kwa Mzee msekwa,naona unawaza kwa kutumia makamasi

Hahahahah! Yaan huyu ni FOXY wa ukweli. Hivi angelipwa elf 5 kwa siku si angewehuka kabisa. Elf 2 tu imemtoa akili hivi.

Kama yuko kwenye kampeni ya kusambaza ukimwi. Jihadhali chukua hatua.

nape at work for magamba!!

Still I will say USHINDWE

watu kama hawa ni vizuri kuwafahamu kiuhalisia majina yao, wapi wanafanya kazi/wanaishi!!

Ungejua pumba zako zinavyokera usingethubutu kuandika ujinga wako hapa. Una maisha? Kupewa tu makombo ndio yanakunyima kufikiri?

Nilidhani kichwa.. kumbe ni mzee wa ku-copy na ku-paste. Ahaha. Ndugu usiuze utu wako kwa akiha Nepi.



Inasikitisha sana kuona hawa wachangiaji wote wamepoteza muda wao kujibizana na mtu/watu wenye lengo la kuharibu mada husika. Hawa wote wameshindwa kuchangia lengo kuu la hii thread badala yake wanasumbuka kujibizana na mtu ambaye anaonyesha wazi kabisa lengo lake nini hapa JF....it's sad that you have been easily taken for a ride by this granny who claims to be a Foxy. Foxy my foot!!
Kwa ufupi ni kwamba Faiza amefanikiwa lengo kwa kiasi kikubwa kuliko great thinkers wengi hapa jamvini kwa sababu ameweza kuzuia flow ya thread kwenda ilivyotakiwa. Nafikiri kila mtu angemweka kapuni kwa ku-ignore posts zake sidhani kama angekuwa na effect kubwa aliyonayo sasa....lakini kama uko hapa jamvini kwa lengo kubishana then Faiza na watu kama yeye wanakufaa zaidi maana hawana constructive argument, wao ni ubishi tu kama kwenye vijiwe vya kahawa uswahilini.
 
Join Date : 9th May 2011
Posts : 943
Thanks:
167
Thanked 67 Times in 56 Posts
Rep Power : 22

mamluki wa nape hawa!!!!!!:shut-mouth:
 
Njoo Mtaa wa Lumumba na Kariakoo, nyumba ya kona, na nnaitwa Faiza. Unalo?

Hapo kwenye red! Sasa ma great thinkers mnataka kujua nini tena? Huyo yuko makao makuu ya CCM pale Lumumba na nakuhakikishieni huyu ni MS sema tu anatumia jina na avatar ya mwanamke. Mpuuzieni kwani hajui afanyalo. Yeye anaangalia pesa anazopewa na kina Nape kwani amepewa ajira kwa sababu ana certificate ya typing.
 
Ndugu zangu wana JF Salamu,

Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano..Najua gov iko katika wakati mgumu na badala ya kushughulikia kero za wananchi imeamua kukamata kamata na kuhakikisha inatutisha ili tusiendeleze mapambano...

Ndugu zangu nimekuwa nikilisema hili na nitaendelea kulisema kuwa kamwe sitarudi nyuma katika mapambano haya...Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............

Ndugu zangu wana JF
From de bottom of my heart, napenda kuwashukuruni ninyi nyote kwa moyo mliouonyesha na kwa support kubwa mliyonipa na mnayoendelea kunipa. I have just arrived from Central Police kwa office ya RCO wa Ilala. It is unfortunate kwamba tumeambia amesafiri na tuakaambiwa tumpigie simu ili atupe maelekezo zaidi kwani ofisi ya RCO inahusiha mambo mengi. Hapo tukagundua kuna mushkeli kidogo na sisi tukawaambia hatuwezi kumpigia simu ila tulichofanya ni kuitikia wito wake, sasa kaka hayupo basi yeye ndo atutafute na tena kwa kutoa arrest warrant na si vinginevyo. Hata hivyo tulikuja kubaini kuwa hoja yao ya kutaka kunitia nguvuni eti kwa kuwa nilionekana makao makuu ya CDM na baadaye mnazi m1 haikuwa na mashiko na labda ndo maana wakaamua kuipotezea……Nashukuru sana na nitaendelea kuwajulisha chochote kitakacho endelea baada ya hapa kama kitatokea….aluta Continua………
 
2011-06-08_1444.png


Mtu mwenyewe kaingia humu jamvini mwezi jana tu, so let's serve our time by ignoring HIM. Yes, HIM I said!
2011-06-08_1444.png
 

Attachments

  • 2011-06-08_1444.png
    2011-06-08_1444.png
    12 KB · Views: 32
Inasikitisha sana kuona hawa wachangiaji wote wamepoteza muda wao kujibizana na mtu/watu wenye lengo la kuharibu mada husika. Hawa wote wameshindwa kuhangia lengo kuu la hii thread badala yake wanasumbuka kujibizana na mtu ambaye anaonyesha wazi kabisa lengo lake nini hapa JF....it's sad that you have been easily taken for a ride by this granny who claims to be a Foxy. Foxy my foot!!
Kwa ufupi ni kwamba Faiza amefanikiwa lengo kwa kiasi kikubwa kuliko great thinkers wengi hapa jamvini kwa sababu ameweza kuzuia flow ya thread kwenda ilivyotakiwa. Nafikiri kila mtu angemweka kapuni kwa ku-ignore posts zake sidhani kama angekuwa na effect kubwa aliyonayo sasa....lakini kama uko hapa jamvini kwa lengo kubishana then Faiza na watu kama yeye wanakufaa zaidi maana hawana constructive argument, wao ni ubishi tu kama kwenye vijiwe vya kahawa uswahilini.

Hakika mimi napenda kupingana na wote kuhusu huyu Faizafoxy.

Mimi na kimsingi kabisa na taaluma unamuona anajenga hoja zake vizuri sana na kuweza kuzitetea kwa hoja . hakika ana hoja za nguvu sana.

Ila tatizo nililolibaini hapa jamvini ni kuwa watu wanapenda kitu bila hata kuwa na hoja madhubuti kutetea mapendo yao. Na panapotokea mtu kupinga kile ambacho wengi wanakipenda basi laziima mtu huyo aandamwe kwa lugha za matusi pamoja na kejeli ikiwa pamoja na wengi kuomba MODS wamfungie sababu anakwenda kinyume cha mapenzi ya wengi.

Napenda kuwashauri kuwa ili hoja iwe hoja kamili lazima kuwe na pande mbili madhubuti zenye kujenga hoja chanya na hasi lakini zote zikiwa na madhumuni ya kuelimishana na wala sio kutusiana wala kukebehiana.

Nazidi kuwashauri wanaJF muwe wavumilivu kwa hoja mbalimbali na mara zote kuepuka lugha za kejeli na matusi kwa yule mwenye mawazo tofauti na wewe. Hakika siku zote tushindane kwa hoja na sio matusi kwa nia ile ile ya kuhabarishana na kuelimishana na sio kukejeliana.

Faizafoxy nazidi kukupongeza kwa maandiko ako na uvumilivu wako ambapo mpaka sasa sijaona sehemu ulimpomtusi mtu zaidi ya watu kukutusi na kukukabehi.
 
hongera. Hawana lolote walikuwa wanakupotezea muda tu na kukutafutia kosa ambalo kimsingi halipo. Endelea na mchakato wako wa maisha, aluta..........................
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.


SURA na akili zako zinafanana sana...unawaza kigamba gamba na umefunikwa na gamba..jivue gamba dada utafia humo na uvundo huu...
 
Back
Top Bottom