Ng'hily Kuhojiwa na Police Kanda Maalum

Kaka usijione uko mpweke, amini masikio na nafsi za wapigania haki sote tuko nawe kupitia sala kwa maana Mungu yupo kusikiliza sala zetu na kuwatetea wote wanaokosa haki zao hapa duniani...we believe in God!
 
Hana sababu ya kwenda; kama Polisi wanamuona ni mtuhumiwa waende mahakamani wapate warrant wamkamate ili wamhoji mbele ya wakili wake. Kwanini ajitolee? Kama ni wito wa kawaida ana uhuru wa kukataa kuitikia; kama Polisi wanaamini wana sababu ya kumhoji waende kumkamata. Watanzania wanawaendekeza sana hawa polisi. Polisi akija nyumbani kwako na kukuambia "njoo nje" mtu anatoka kisa? ati ni Polisi!! Polisi akikuambia njoo nikupekue mtu anavua hadi nguo!

Naomba nikukumbushe kuwa Polisi wana njia nyingi za kumwita mtu kwa mahojiano.

Njia ya kistaarubu ni hii walioitumia ya kumpigia simu na kumtaka aende kituoni tena kwa wakati wake ili akahojiwe kwa nia ya polisi kujiridhisha na upelelezi wao. Lakini wana uwezo wa kumkamata popote pale na kumpeleka kituoni kwa nguvu kwa nia ile ile ya kujiridhisha katika upelelezi wao.

Mimi namshauri nikiwa kama mwanasheria ni vizuri aende mwenyewe lakini aambatane na mwanasheria wake katika kufanya mahojiano hayo.

Naomba ieleweke kuwa hakuna mwenye uwezo wa kucheza na sheria na wala kupambana na Doula. haiitaji jazba katika kufata sheria za nchi.

 
Mlengo wa Kati, taratibu my dear, usimwache kijana akapata "stroke".

Mwacheni FaizaFoxy, hata mechi huwa na washangiliaji. dada yetu wewe vuta mshiko wa Nape najua ajira ngumu mjini, wakati wenye uchungu na nchi yao wanatafuta muafaka wa kuikomboa kutoka kwa walioshiba na vibaraka wao wewe endelea kuleta mzaha. Na ninawaomba waungwana wakuvumilie kwani watu kama ninyi hamwezi kukosekana.

Siku moja utasherehekea matunda ya uhuru, uhuru kamili. najua wapo wajomba na wadogo zako ninapoandika wanamwalimu mmoja, hakuna madawati, wala vitabu. najua bibi yako kakosa dawa hospitali, mama yako anatumia nishati ya kuni, na binadamu yako kashindwa kupeleka mtoto shule sababu hana ada. Jirani yako kafa kwa ajali sababu barabara mbovu na hakuna gari la wagonjwa. Ukumbuke ukiwa mjamzito utapakizwa kwenye bajaj ba baba yenu JK ukiwa na bahati kama hutabwebwa mzega mzega.

Endeleza mzaha, kwani usistaajabu ukifika Muhimbili ukiambiwa dawa hakuna na mke wa JK akienda ulaya, huku Nape akiwa india anatibiwa anakushangaa wewe na shangazi zako. Najua leo umeme ukikatika lazima uwashe kibatari wakati ngeleja hajui kibatari. Madimbwi ya maji na mzalia ya mbu ndio chakula chako leo wanakuajiri kwa elfu mbili etu uwasaidie kuendelea kukugandamiza na kukutawala kiakili, kifrika na kiuchumi.

Endeleza mzaha jamvini kwani unasisimua wenye nia ya kweli.
 
Ndugu zangu wana JF Salamu,

Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano..Najua gov iko katika wakati mgumu na badala ya kushughulikia kero za wananchi imeamua kukamata kamata na kuhakikisha inatutisha ili tusiendeleze mapambano...

Ndugu zangu nimekuwa nikilisema hili na nitaendelea kulisema kuwa kamwe sitarudi nyuma katika mapambano haya...Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............

Nenda hawana jipya wakishakuhoji wakaridhika, muulize Njagu Kova ni kwanini mpaka leo watuhumiwa wa Ufisadi hajawakamata? Hebu muulize kwanini WAMILIKI wa Kagoda na meremeta wanaendelea kutamba mitaani wakati wameshaifilisi nchi? waulize pesa za mafuta ya Ndege iliyotumika kumpeleka MBOWE Arusha kutembelea mahakama pamoja na Posho za Askari waliokuwa wametumika kwenye msafara wa kwenda kufutiwa hati ya kukamatwa Mbowe wamezipata wapi? wakati pikipiki za polisi zimepaki kwa kukosa Pesa za matengezezo kwa ajili ya Doria?

Usimfiche mkumbushe kuwa CCM haitatawala milele na kuwa hao wanaoitumikia kwa kuonea viongozi wa upinzani watakuwa kweye wakati mgumu sana kama wapinzani wataingia madarakani hivyo asidhani kuwa haya mambo hayana mwisho, mweleze kuwa kuna wakati nao watavua hayo magwanda na kuwa raia wa kawaida. Yupo wapi mahita? si anapiga tu lapa hapo morogoro?
 
Malumbano mengine yanapoteza mvuto wa jf mweh.... Hebu jaribuni kutoa hoja zenye kufikirika na si upuuzi mnaouleta kwenye hii post yenye maana kubwa kwa maisha ya watanzania. Pole sana mkuu mungu ni mwema siku zote hakika utayashinda majaribu kama kristo alivyoshinda. All the best bra
 


Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano...Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....

Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............


Halafu ushauri.....
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

Mkuu Ng'hily anajibu kwa ukali.......

Wewe ni kawaida yako kuponda kila kitu, so maneno yako wala hayanivunji moyo katika harakati za kuidai Haki...Sema chochote uwezacho kusema dadangu...Hata ukitaka kutukana wewe tunakana tu, si kinywa ni chako! Aluta Continua.....

Mkuu N'ghi'ly you look pretty stressed up, anybody would be , in your present predicament.
Lakini dada huyo kakupa ushauri wa bure.
Usikatae ushauri wa bure hata ukitoka CCM, nyie mnaita magamba.
You might need it
 
Polisi wa Tanzania wengi wana ufahamu duni.
Polisi wetu ukionekana unajenga hoja na kumwuliza maswali ghafla utamwona anahamaki, anaanza kukutisha ama kusema "unajifanya mjuaji".
Vyuo vya polisi haviwaandai kama watunza usalama, vinafanya kinyume chake.

Na kwa vile wanaitwa "Police Force" basi wao kila kitu ni "Force" hata pale hakuna haja ya nguvu.
Sitoshangaa kama Ng'hily utakuja kutueleza kwa unatuhumiwa kwa makosa zaidi ya matano:
1. kukusanyika isivyo halali
2. umesababisha upotevu wa mabomu ya machozi isivyo sababu
3. mlisababisha foleni barabarani hivyo kurudisha uchumi nyuma
4. kutotii amri halali ya polisi
5. umesababisha uvunjifu wa amani n.k

Wamefundishwa kukamata kwanza ndipo watafute kosa la kukushtaki kwalo. Ndio maana hata Traffic police kwenye barabara kuu hujificha vichakani kuvizia gari ili wabambike kosa la overspeed.
Polisi wa Tanzania kama ingekuwa ni kifaa cha kielectronik tungeweza sema kwa kimombo "NOT USER friendly"

Tutasubiri mrejesho toka kwa Ng'hily!!!!!
 
Ndugu zangu wana JF Salamu,

Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano..Najua gov iko katika wakati mgumu na badala ya kushughulikia kero za wananchi imeamua kukamata kamata na kuhakikisha inatutisha ili tusiendeleze mapambano...

Ndugu zangu nimekuwa nikilisema hili na nitaendelea kulisema kuwa kamwe sitarudi nyuma katika mapambano haya...Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............

Utaratibu huu umeanza lini? Kwa nini usiandikiwe ili tuweke kumbukumbu vizuri?:A S 100:
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

nape at work for magamba!!
 
just consult your lawyer...do not worry..police stations should be our sitting room at the time being....
 
CAMARADERIE, haaaa, kumbe siku ile yule shoga'ko uliyempa kamera alikuwa anapiga picha? maana mwenyewe nakuona unachungulia kwa nyuma kule! sasa ndio nini kuianika namna hiyo, na zile tulizopiga tunabusiana ziweke basi au unamuogopa nanihii?

Still I will say USHINDWE
 
Ndugu zangu wana JF Salamu,

Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano..Najua gov iko katika wakati mgumu na badala ya kushughulikia kero za wananchi imeamua kukamata kamata na kuhakikisha inatutisha ili tusiendeleze mapambano...

Ndugu zangu nimekuwa nikilisema hili na nitaendelea kulisema kuwa kamwe sitarudi nyuma katika mapambano haya...Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............

aisee ;;mmh
 
Mwacheni FaizaFoxy, hata mechi huwa na washangiliaji. dada yetu wewe vuta mshiko wa Nape najua ajira ngumu mjini, wakati wenye uchungu na nchi yao wanatafuta muafaka wa kuikomboa kutoka kwa walioshiba na vibaraka wao wewe endelea kuleta mzaha. Na ninawaomba waungwana wakuvumilie kwani watu kama ninyi hamwezi kukosekana.

Siku moja utasherehekea matunda ya uhuru, uhuru kamili. najua wapo wajomba na wadogo zako ninapoandika wanamwalimu mmoja, hakuna madawati, wala vitabu. najua bibi yako kakosa dawa hospitali, mama yako anatumia nishati ya kuni, na binadamu yako kashindwa kupeleka mtoto shule sababu hana ada. Jirani yako kafa kwa ajali sababu barabara mbovu na hakuna gari la wagonjwa. Ukumbuke ukiwa mjamzito utapakizwa kwenye bajaj ba baba yenu JK ukiwa na bahati kama hutabwebwa mzega mzega.

Endeleza mzaha, kwani usistaajabu ukifika Muhimbili ukiambiwa dawa hakuna na mke wa JK akienda ulaya, huku Nape akiwa india anatibiwa anakushangaa wewe na shangazi zako. Najua leo umeme ukikatika lazima uwashe kibatari wakati ngeleja hajui kibatari. Madimbwi ya maji na mzalia ya mbu ndio chakula chako leo wanakuajiri kwa elfu mbili etu uwasaidie kuendelea kukugandamiza na kukutawala kiakili, kifrika na kiuchumi.

Endeleza mzaha jamvini kwani unasisimua wenye nia ya kweli.

Kinepi nepi tatizo linalowakabili wengi ni umimi sasa hapo anajiangalia yeye tu na ndio maana itachukuwa muda kupata uhuru wa kweli.
 
Bora wewe ndugu yangu unataka ilmu, hii hapa kwa ufupi ndio scientific approach:

Political science is methodologically diverse and appropriates many methods originating in social research. Approaches include positivism, interpretivism, rational choice theory, behavioral, structuralism, post-structuralism, realism, institutionalism, and pluralism. Political science, as one of the social sciences, uses methods and techniques that relate to the kinds of inquiries sought: primary sources such as historical documents and official records, secondary sources such as scholarly journal articles, survey research, statistical analysis, case studies, and model building.

Ukiwa na maswali zaidi usisite kuuliza.

Nimekupata na asante kwa maelezo yako. Bila shaka nina maswali kadhaa ninayotaka kuuliza hasa ukizingatia kuwa mimi sio mwanasayansi wa kisiasa au mwanasiasa wa kisayansi (political scientist).

Tatizo langu ni kuwa haya maelezo yamekaaa kinadharia sana na yanaonekana kuelea sana hewani (abstract). Kwa mtazamo wangu naona kama hayajanisaidia sana kuelezea hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na Africa kwa ujumla. Kwa lugha nyingine naona kama maelezo yako hayajakidhi kiu yangu ya kuijua ile "scientific approach" uliyoiongelea awali lakini kwa muktadha wa mazingira ya Tanzania yetu.

Mfano unaposema "positivism", "interpretivism", "structuralism" au "post structuralism" una maana gani kwa muktadha wa siasa za Tanzania kwa sasa. Je mwelekeo wa siasa wanazofanya mfano watu wa CCM au CHADEMA au CUF zinaangukia katika kundi gani kati ya hayo uliyoyataja hapo juu.

Je wapinzani wanatakiwa watumie "approach" ipi katika mazingira ambayo chama kimoja kina mamlaka yote ya dola, ikiwa ni pamoja na bunge na mahakama na kinaweza kutunga na kutekeleza sheria zinazokipa mamlaka ya kukandamiza uhuru wa vyama vinavyokipinga? J watumie positivism, interpretivism, rational choice theory, behavioral, structuralism, post-structuralism, realism, institutionalism au pluralism? Je wanatekelezaje hizo approach kama wakiamua kuzifuata au kwa lugha nyingine ni ipi kwa mtazamo wako inafaa kufuatwa na wapinzani wa tanzania ili wafikie malengo yao ya kuking'oa chama tawala ambacho nacho kingependa kuendelea kutawala milele?.

Naomba ufafanuzi ili kama bado nina maswali niyaulize.
 
Ndugu zangu wana JF Salamu,

Nimepigiwa simu kuwa nahitajika Police Kanda Maalum kwa mahojiano ya namna gani nilihusika na maandamano ya juzi ambayo yalitawanywa na police pale Magomeni kwa mabom ya machozi...

And according to them am the prime suspect, which iz not true. However, after consulting the CDM legal team, I have accepted the call na nitaenda majira ya asubuhi saa tano..Najua gov iko katika wakati mgumu na badala ya kushughulikia kero za wananchi imeamua kukamata kamata na kuhakikisha inatutisha ili tusiendeleze mapambano...

Ndugu zangu nimekuwa nikilisema hili na nitaendelea kulisema kuwa kamwe sitarudi nyuma katika mapambano haya...Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki....Inshallah Mwenyezi Mungu yupo na atatusaidia......

Aluta Continua...............

Kaka pole sana kwa hilo. Vipi mbona unaanza kujitetea hapa kabla ya kufika huko polis? unaanisha ulihusika? maana mimi naamini mtu ukiambiwa wewe ni mwizi na ukawa kweli ni mwizi basi utakuwa na wasiwasi sana na kuanza kujitetea, lakini kama utakuwa umesingiziwa wala hauwei na wasiwasi. Kaka yangu kama ulikurupuka kujihusisha na hayo hali ya kuwa unajua kuna taratibu mlitakiwa kuzifanya kufikia lengo lenu aise kawaeleze na jitahidi utoe ushirikiano usioneshe ubabe maana majamaa yamejipanga, otherwise utachezea mvua na value yako kwa chama itakuwa kuchiney na utakuwa umeilostisha familia yako inayokutegema katika maisha yako ya kila siku. kaka huo ni ushauri tu unaweza kuupuuza
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

watu kama hawa ni vizuri kuwafahamu kiuhalisia majina yao, wapi wanafanya kazi/wanaishi!!
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

Ungejua pumba zako zinavyokera usingethubutu kuandika ujinga wako hapa. Una maisha? Kupewa tu makombo ndio yanakunyima kufikiri?
 
Back
Top Bottom