Ng'hily Kuhojiwa na Police Kanda Maalum

Faiza, i never intended to reply to your message but imenikera sana. Kwanza nakusikitikia kwa hukumu uliyotoa kwa mwananchi ambaye ameamua kupigania haki yake ya msingi ya kutokukubaliana na kile kinachofanywa na watawala. Pili ingawa ni haki yako kutoa maoni lakini si haki kutoa hukumu, umenisikitisha na kunikera, siamini. Kwa haraka haraka either una nufaika na mfumo unaotunyonya wengi au uko katika harakati za siasa za maji taka
pole dada yangu na nakutakia kila la kheri

Soma vizuri na iweke hapa hiyo hukumu niliyoitowa, wacha pumba!
 
Hana sababu ya kwenda; kama Polisi wanamuona ni mtuhumiwa waende mahakamani wapate warrant wamkamate ili wamhoji mbele ya wakili wake. Kwanini ajitolee? Kama ni wito wa kawaida ana uhuru wa kukataa kuitikia; kama Polisi wanaamini wana sababu ya kumhoji waende kumkamata. Watanzania wanawaendekeza sana hawa polisi. Polisi akija nyumbani kwako na kukuambia "njoo nje" mtu anatoka kisa? ati ni Polisi!! Polisi akikuambia njoo nikupekue mtu anavua hadi nguo!
Mwanakijiji,
Sidhani kama katiba ya Tanzania inatumika. Wasiwasi wangu mkubwa ni pale Polisi waliokuita kama wanajua hata kunakatiba. Tanzania kinachofutatwa ni order kutoka juu. Naona inatupasa kutoa soma la uraia kuhusu haki za raia kwa vyombo vya dola. Na ili polisi na mahakama wavijui kwamba ni haki yetu inabidi kuandamana nchi nzima huku tukipiga kelele hizi ndizo haki zetu.

Tanzania hata ukijisalimisha polisi wanakupiga virungu, ukienda mwenyewe kituoni wanakupiga virungu, unaweza usisomewe haki zako, wala kushtakiwa kwa masaa. Kumbuka zile sheria gandamizi bado zipo ndani ya katiba. Katiba iliyopo tanzania ni ya kikatili sana.
 
Wewe ni kawaida yako kuponda kila kitu, so maneno yako wala hayanivunji moyo katika harakati za kuidai Haki...Sema chochote uwezacho kusema dadangu...Hata ukitaka kutukana wewe tunakana tu, si kinywa ni chako! Aluta Continua.....

Achana nae huyo kamanda.

Tupo pamoja nawe kwa sala na maombi
 
Hana sababu ya kwenda; kama Polisi wanamuona ni mtuhumiwa waende mahakamani wapate warrant wamkamate ili wamhoji mbele ya wakili wake. Kwanini ajitolee? Kama ni wito wa kawaida ana uhuru wa kukataa kuitikia; kama Polisi wanaamini wana sababu ya kumhoji waende kumkamata. Watanzania wanawaendekeza sana hawa polisi. Polisi akija nyumbani kwako na kukuambia "njoo nje" mtu anatoka kisa? ati ni Polisi!! Polisi akikuambia njoo nikupekue mtu anavua hadi nguo!

Unamtia mkenge mwenzako, ngoja siku unaitwa wewe ufanye hivyo, ndio wale wale! au ndio mafunzo kutoka kwa Dad?
 
Mwanakijiji,
Sidhani kama katiba ya Tanzania inatumika. Wasiwasi wangu mkubwa ni pale Polisi waliokuita kama wanajua hata kunakatiba. Tanzania kinachofutatwa ni order kutoka juu. Naona inatupasa kutoa soma la uraia kuhusu haki za raia kwa vyombo vya dola. Na ili polisi na mahakama wavijui kwamba ni haki yetu inabidi kuandamana nchi nzima huku tukipiga kelele hizi ndizo haki zetu.

Tanzania hata ukijisalimisha polisi wanakupiga virungu, ukienda mwenyewe kituoni wanakupiga virungu, unaweza usisomewe haki zako, wala kushtakiwa kwa masaa. Kumbuka zile sheria gandamizi bado zipo ndani ya katiba. Katiba iliyopo tanzania ni ya kikatili sana.

Muulize Mwenyekiti alipigwa virungu?
 
Mwanakijiji sijakuelewa kabisa kiukweli. Tufafanulie kidogo tupate mwanga.

Kama hujamuelewa tafsiri yake hii hapa niliyasema haya huko juu:

"Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka."
 
Mbona unajitetea "kufa kishujaa" mapema mno? kwani uliambiwa unakwenda kuuliwa?, au unaongelea ushujaa wa kuandaa maandamano kwa ajili ya mtu aliyekiuka amri ya mahakama?

Hivi ushujaa mnausikia au mnaujuwa ni nini? Nakusitikia sana kwa kuwa unafikra potofu za kutaka kuisaidia nchi yako kwa njia zisizo stahiki. Tanzania, na uchanga wake lakini ni nchi yenye demokrasia ya hali ya juu kulinganisha na nchi nyingi duniani. Na tunaona demokrasia ikizidi kushamiri hususan kipindi hiki cha awamu ya nne. Hivi mnafikiri kuvunja amani au kujidai uhodari ndio demokrasia?

Nilifikiri kuwa watu makini mngetumia "a more scientific approach" kuliko mbinu ambazo hazina tija kwa sasa. Haitotokea wala usijipotezee wakati kudhani kwamba kuna siku mtaichukuwa hii nchi kwa mabavu. Wananchi waliopiga kura zao na kwa wingi wao walichaguwa viongozi ambao wanaona wao wanawafaa, iwe wa chama chochote kile, hamuwezi leo kuja na kujidai mashujaa kwa kuivuruga demokrasia yetu.

Nenda kwa usalama ukajibu maswali, na tunakuombea iwe kweli kama ulivyosema kuwa hukuhusika na uvunjifu wa amani na usijidai kufanya ubishi usio na mpango huko uendako. Fata sheria na usifanye mzaha na nguvu za dola, si uliona juzi juzi walimsweka ndani Mwenyekiti?

Kumbuka, utajuta utakapoona kwamba hao wanasheria unaowategemea wanaingia mitini, kwa kuwa tu huna kitu, hapo ndipo utapojuwa kuwa unazugwa tu na wachache wenye uchu wa madaraka.

Hii nayo ni demokrasia. Napenda unavyojieleza kwa uwazi pamoja na kuwa yumkini unawakwaza wengi wanaokusoma. Naomba unieleze ulikuwa na maana gani uliposema akina Ng'hilli watumie "a more scientific approach" kuliko hizi wanazotumia ambazo kwa mtazamo wako ni "less scientific approach"?
 
Hii nayo ni demokrasia. Napenda unavyojieleza kwa uwazi pamoja na kuwa yumkini unawakwaza wengi wanaokusoma. Naomba unieleze ulikuwa na maana gani uliposema akina Ng'hilli watumie "a more scientific approach" kuliko hizi wanazotumia ambazo kwa mtazamo wako ni "less scientific approach"?

Bora wewe ndugu yangu unataka ilmu, hii hapa kwa ufupi ndio scientific approach:

Political science is methodologically diverse and appropriates many methods originating in social research. Approaches include positivism, interpretivism, rational choice theory, behavioral, structuralism, post-structuralism, realism, institutionalism, and pluralism. Political science, as one of the social sciences, uses methods and techniques that relate to the kinds of inquiries sought: primary sources such as historical documents and official records, secondary sources such as scholarly journal articles, survey research, statistical analysis, case studies, and model building.

Ukiwa na maswali zaidi usisite kuuliza.
 
Kama Chadema "legal team" wamekushauri uende kituoni na wao wana matatizo.

MM I beg to differ. Even without the advice of Chadema "legal team" one has to prove himself innocent if requested to do so.

You might have good reasons or feelings, but under the current situation and environment the strategy is to FACE THE ENEMY HEAD ON AND PUT IT TO SHAME.

Casualties in any struggle are inevitable but their sweat and blood irrigate the struggle. Our role is to support victims of the struggle morally, physically and with all available resources especialy time. I salute all the victims of the struggle keep it up.
 
Ujumbe huu uwafikie wanamapinduzi na wanaharakati woote , popote pale mlipo ......

mwanakijiji@jamiiforums.com

Ikawa Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji (troublemaker) wa Israeli? Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli bali ni wewe (speaking truth to power), na nyumba ya baba yako (Bila kuuma maneno), kwa kuwa mmeziacha amri za BWANA (mafundisho ya msingi ya taifa); nawe umewafuata mabaali (a.k.a mafisadi unaowaabudia). 1 Wafalme 18:17 Fikiria.
 
Wewe ni kawaida yako kuponda kila kitu, so maneno yako wala hayanivunji moyo katika harakati za kuidai Haki...Sema chochote uwezacho kusema dadangu...Hata ukitaka kutukana wewe tunakana tu, si kinywa ni chako! Aluta Continua.....

Sina nia ya kutukana, nakuomba isome vizuri sana hiyo post yangu, ina manufaa makubwa sana kwako na kwa wenzako, kumbuka, siasa zinataka uwe more broad minded na uwe na uwezo wa kupokea criticism na kuzifanyia kazi. Hili ni wazo langu kwako na kwa wenzako. Sitegemei nawe utakuwa kama mapunguwani wengine ambao hawana zaidi ya kuponda tu mawazo ya wenzao hata kama ni mema.
 
Tupo pamoja mpiganaji,usiogope nguvu ya uma ipo pamoja na wewe katika harakati za kumuondoa mkoloni mweusi madarakani,our future is still in our hands,be strong kamanda.VIVA CHADEMA
 
Sina nia ya kutukana, nakuomba isome vizuri sana hiyo post yangu, ina manufaa makubwa sana kwako na kwa wenzako, kumbuka, siasa zinataka uwe more broad minded na uwe na uwezo wa kupokea criticism na kuzifanyia kazi. Hili ni wazo langu kwako na kwa wenzako. Sitegemei nawe utakuwa kama mapunguwani wengine ambao hawana zaidi ya kuponda tu mawazo ya wenzao hata kama ni mema.

Wewe hujajichunguza hata unapojiponda mwenyewe na posts zako zinazojipinga na kujipinda. Sidhani kama ni punguani wewe.
 
Wewe hujajichunguza hata unapojiponda mwenyewe na posts zako zinazojipinga na kujipinda. Sidhani kama ni punguani wewe.

Ya nini waandikia mate na wino upo? weka post yangu niliyoponda na uoneshe nilichokiponda, utakuta kina mantiki kubwa sana. Kwa upeo unaouonesha inakubidi uzirudie zaidi ya mara moja post zangu ili zikuingie, kwani unaonesha ni katika wale ambao wanakuwa "late to register" katika vichwa vyao. Upunguani ndio huo kama huuelewi.
 
Mimi nakushauri sana ni vizuri sana kuitika mwito hususan kama huo wa Polisi kwa ajili ya mahojiani. Napenda ukushauri ni vizuri sana UONGOZANE na MWANASHERIA wako ambaye atakuongoza katika mahojiano hayo na vile vile kuhakikisha kuwa haki zako zote za msingi kama mtuhumiwa zinatekelezwa,

Hilo ni la msingi sana usiache kwenda ila nenda na mwanasheria,

Huo ni ushauri wangu tu. una haki zote za kuukubali au kuukataa.
 
Back
Top Bottom