MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
wana jamii huku Arusha Mgao wawa umeme unaendelea kwa kasi kubwa sana.sijui mikoa mingine kama mnapata huu mgao au ni Arusha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana jamii huku Arusha Mgao wawa umeme unaendelea kwa kasi kubwa sana.sijui mikoa mingine kama mnapata huu mgao au ni Arusha tu.
Hapo wizara ya madini hakuna mawziri ni mawakala wa mafisadi kufanikisha uhujumu na wizi wa maliasili za nchi kwenye madini, gas, mafuta etc na kushirikiana na wauza mafuta na gas wakubwa kuibia wanachi kwa kupanga bei zao za wizi na EWURAHii wizara inatakiwa tujiulize kama ina watu wenye uwezo wa kutosha kuiongoza au ndo tubadilishe uongzi wake maana inahitaji viongozi wenye kutoa maamuzi ya msingi!
1. Umeme umeongezeka 18%
2.ongezeko ya gharama ya gas
3. Mfumuko wa bei za mafuta hawa ewura si wanafanya nini kuapprove vitu vizito
5. Naona sasa hata wauza mikaa nao wanapandisha bei maana wanaona ndiko watanzania wanakimbilia
sasa mh rais naona amefika wakati sasa atafute nyundo apige pale maana ni michosho mitupu!! Wizara kama haina watu wenye mamlaka ya wananchi!! Kha!
wana jamii huku Arusha Mgao wawa umeme unaendelea kwa kasi kubwa sana.sijui mikoa mingine kama mnapata huu mgao au ni Arusha tu.
Hii wizara inatakiwa tujiulize kama ina watu wenye uwezo wa kutosha kuiongoza au ndo tubadilishe uongzi wake maana inahitaji viongozi wenye kutoa maamuzi ya msingi!
1. Umeme umeongezeka 18%
2.ongezeko ya gharama ya gas
3. Mfumuko wa bei za mafuta hawa ewura si wanafanya nini kuapprove vitu vizito
5. Naona sasa hata wauza mikaa nao wanapandisha bei maana wanaona ndiko watanzania wanakimbilia
sasa mh rais naona amefika wakati sasa atafute nyundo apige pale maana ni michosho mitupu!! Wizara kama haina watu wenye mamlaka ya wananchi!! Kha!
wana jamii huku Arusha Mgao wawa umeme unaendelea kwa kasi kubwa sana.sijui mikoa mingine kama mnapata huu mgao au ni Arusha tu.
kweli kuna uhusiano wa karibu sana; yawezekana ndiyo jibu la serikali kwa wananchi juu ya hiyo hukumu ya bil 185Umeme umeongezeka kwa 18.5% deni la DOWANS 185 bn do you read the numbers?