maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Juzi Mbunge wa sengerema alikosa uvumilivu na kujikuta akiwatukana wakazi wa lbondo baada ya kuzomewa wakati akimunadi mgombea udiwani,aliwaambi lazima ccm ishinde hata kwa rirasi na kuwafanya wananchi waape kumwonyesha adabu