frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Kamanda ebu nielekeze lilipo nikalipige picha nataka nimuandike kwenye gazeti la week hii iwe story yangu kubwa namtafuta sana huyu jamaa
Ni Zamani Sweet Corner Bar ( junction ya makoroboi na toka stand/soko kuu).. ukifika hapo kuna ghorofo refu sana ndio hilohilo na kwa taarifa tu kiwanja icho alidhurumu watoto yatimaa mahakamani.