Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 166
Ndo unahabarishwa sasa. Ngeleja amesema Zitto kalamba Mil 30. Source: ITV habari
ndo zile alizosema lusinde kuwa walitumwa watu kuomba kumi kumi. but sina hakka, huyu kashindwa tu kujieleza
Ndo unahabarishwa sasa. Ngeleja amesema Zitto kalamba Mil 30. Source: ITV habari
Kwani Ripoti ya CAG imemtaja Ngeleja ama kuna mtu yeyote aliyetiwa hatiani na hiyo ripoti ya CAG? Usichanganye ripoti ya CAG na ripoti ya PAC. Hizi ni ripoti mbili tafauti.
Tatizo la wachangiaji wengi humu ndani wana taarifa za vijiweni kama wewe. Unajiuliza hii taarifa kaitoa wapi?
Ile ilikuwa ya matibabu "kama kweli", si ya msiba! Kazi kweli kweli
kwa njisi nisivo na imani na zito
hili nakubali kabisaaaaaa
Kwani report ya CAG imemtaja Ngeleja? This is Mobb thinking... hujui unachoongelea....
Huyu Ngeleja ni mwanasheria na tena huyu kiazi mkubwa anautamani urais. Jitu limezoea kuomba omba kwa wanaume halafu liwe rais, si wanaume wanaweza kulili** 0658. Uwezi kudai usihukumiwe eti hadi wengine anaowajua yeye waletwe mbele ya pilato. Hii nchi haikosi vituko.Hivi Ngeleja anataka ubunge Kigoma Kaskazini?
Zitto ni mnafiki sana. Hatutakiwi kuwa na watu wa aina yake.mara ya tatu hiyo anatajwa kuhusiana na Escrow, bungeni alitajwa na Asumter na kibajaji
Zitto fisadi tangu siku nyingi jamani kwanini hamtaki kuelewa?
Bongo bwana viroja kweli ...sasa kuwahoji waloga omba au kupewa fedha lakini mtoaji hana kosa wala haitwi kuhijiwa au kufunguliwa kesi...hii kwa ushahidi wa kimazingira hakuna kosa kwani mtoaji ametoa kihalali.
Bila ya Ruge kukamatwa hakuna kesi hapa tunachezewa tu
Ngeleja anasema Zitto alipokea milioni 30 Lusinde naye anasema alipokea milioni 10.
teh teh teh
Mpuuzi tu uyo Ngeleja elimu yake haimsaidii kitu.ZZK anapata mishale toka pande zote za ccm na CDM lakini naamini atashinda badala ya kujitetea bwana Ngeleja eti na Ztt alichukua kweli we ni mpuuzi jibu kesi kwanza.
Two Wrongs Don't Make One Right! Angejitetea Kivyake.. Ameonesha Shallowness & Political Mediocity!