Ngeleja Nakuja Kugombea Ubunge Jimbo Lako 2015

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Mh. Ngeleja, nakuja kugombea jimboni kwako 2015. Siasa Zako uchwara za chuki, majungu na fitna ndo sababu. Bahati Nzuri Riz1 agombei. Mdogo wangu angegombea kwake. Mpende msipende Mwezi wa Kwanza Marope lazima Aingie Foreign au Nishati na Madini...Ukijaribu kum-sabotage, tumia akili siyo hiyo staill
 
kazi ipo kumtoa Ngereja umeme kila kijiji na kazi imeanza kwa vijiji tisa mwaka huu
 
nasikia alikuwa akizindikwa hadharani. Alicharangwa chele utadhani penseli inayochongwa.
Ukimwambia unataka kumng'oa enzini anaweza kujiharishia
 
Mh. Ngeleja, nakuja kugombea jimboni kwako 2015. Siasa Zako uchwara za chuki, majungu na fitna ndo sababu. Bahati Nzuri Riz1 agombei. Mdogo wangu angegombea kwake. Mpende msipende Mwezi wa Kwanza Marope lazima Aingie Foreign au Nishati na Madini...Ukijaribu kum-sabotage, tumia akili siyo hiyo staill

ninakubaliana na wewe kwenye point moja tu, kwa kweli mh. Ngeleja sijaona mchango wake wa dhati katika jimbo lake,,,,,naomba wapinzani wachukue jimbo!!!!
 
Mh. Ngeleja, nakuja kugombea jimboni kwako 2015. Siasa Zako uchwara za chuki, majungu na fitna ndo sababu. Bahati Nzuri Riz1 agombei. Mdogo wangu angegombea kwake. Mpende msipende Mwezi wa Kwanza Marope lazima Aingie Foreign au Nishati na Madini...Ukijaribu kum-sabotage, tumia akili siyo hiyo staill
Nimependa leo umeamka na Ngeleja sijui na kesho utaendeleza makombora yako.Its good strategy
 
Mh. Ngeleja, nakuja kugombea jimboni kwako 2015. Siasa Zako uchwara za chuki, majungu na fitna ndo sababu. Bahati Nzuri Riz1 agombei. Mdogo wangu angegombea kwake. Mpende msipende Mwezi wa Kwanza Marope lazima Aingie Foreign au Nishati na Madini...Ukijaribu kum-sabotage, tumia akili siyo hiyo staill
Kaazi kwelikweli,SI ULISHAMPAGA URODA WEWE au hakukutimizia alichokuahidi?
 
Muke Ya Muzungu pia kaandika:
Anna Makinda: Nakuja Kugombea Jimbo Lako 2015



Naona utagombea majimbo mawili tofauti mwaka 2015!Sheria zinaruhusu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom