Ngeleja na Pinda

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,005
Waungwana

Baada ya ripoti ya madini kutolewa JK alimpa Ngeleja wiki mbili ili aipitie na kutoa mapendekezo yake. Hiyo ilikuwa June, 2008 kama sikosei. Ngeleja akadai kwamba mapendekezo yake kuhusiana na ripoti hiyo hasa katika umiliki wa Kiwira na mikataba madini isiyo na maslahi itatolewa Bungeni baada ya kupata ruhusa kutoka kwa spika Sitta ya kufanya hivyo.

Pinda naye alitwambia kwamba atazungumzia jinsi serikali itakavyoyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na kamati ya Richmond Bungeni baada ya kupewa ruhusa na spika Sitta.

Naona miezi inakatika tu na Sitta hatowi ruhusa hiyo! Je, kulikoni? Au ndiyo usanii wa mafisadi katika kuifilisi Tanzania yetu ukiendelea bila woga?
 
Waungwana

Baada ya ripoti ya madini kutolewa JK alimpa Ngeleja wiki mbili ili aipitie na kutoa mapendekezo yake. Hiyo ilikuwa June, 2008 kama sikosei. Ngeleja akadai kwamba mapendekezo yake kuhusiana na ripoti hiyo hasa katika umiliki wa Kiwira na mikataba madini isiyo na maslahi itatolewa Bungeni baada ya kupata ruhusa kutoka kwa spika Sitta ya kufanya hivyo.

Pinda naye alitwambia kwamba atazungumzia jinsi serikali itakavyoyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na kamati ya Richmond Bungeni baada ya kupewa ruhusa na spika Sitta.

Naona miezi inakatika tu na Sitta hatowi ruhusa hiyo! Je, kulikoni? Au ndiyo usanii wa mafisadi katika kuifilisi Tanzania yetu ukiendelea bila woga?



Jana walirusha jiwe lao la mwisho maana JK kaamua kufunika na kuwazuia wabunge kujadili jambo hilo tena na siamini kama Sitta ataruhusu
 
Ahsante Bubu, nilikuwa na hofu kwamba mjadala wa hotuba ya rais itafunika ripoti hizi mbili muhimu kutoka kwa watendaji. labda kweli Speaker na mawaziri hao wawili wanatafuta mbinu ya kukwepa kutoa ripoti zao bungeni. umebaki muda mchache sana...
 
Ahsante Bubu, nilikuwa na hofu kwamba mjadala wa hotuba ya rais itafunika ripoti hizi mbili muhimu kutoka kwa watendaji. labda kweli Speaker na mawaziri hao wawili wanatafuta mbinu ya kukwepa kutoa ripoti zao bungeni. umebaki muda mchache sana...

Expect nothing than maneno ya kukwepa ukweli kama yale ya EPA
 
Pinda is already into the system and he is playing according to the rules.Talk and you are over and done with!he knows the Richmond Villains can put whoever they want in power coz they have the means and resources to do so!
Its pure mendacious coz no one will ever pay for their misdemeanors!
We have lost the war and they are doing it their way!
 
Kwa mujibu wa ratiba mpya ya Bunge iliyotolewa juzi, hakuna masuala ya Richmond wala Ripoti ya madini
 
Kwa mujibu wa ratiba mpya ya Bunge iliyotolewa juzi, hakuna masuala ya Richmond wala Ripoti ya madini
JF Kama inaweza kusaidia, Taarifa sahihi ni kuwa Taarifa ya Kamati ya Bomani ilipelekwa kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini. Leo Mhe. Speaker ameelekeza kuwa kuitendea haki Taarifa hiyo, inahitaji kwa peke yake angalau siku 2, na kwa kuwa muda utakaokuwa umebaki baada ya Finance Bill Jumatatu, Appropropriation and Excess Vot, ni siku ya 27/8 na 28/8 huenda zitatumika kwa hoja binafsi za Wabunge(Kama zitakuwepo) pamoja na Taarifa ya Richmond na pia kujadili 'Hotuba ya Rais" kabla haijapoa! Tarehe 29/8 Bunge linaahirishwa. Kama itawasaidia kwa kufuatilia hii inaweza kuwa ratiba kwa siku zinazofuata juma lijalo.
 
Kusema kweli mimi binafsi ninamheshimu sana Mh Pinda lakini kwa kauli zake tangu ashike madaraka ya Uwaziri Mkuu, nimeanza kuingiwa na wasi wasi hata hivyo baada ya kuwaza na kuwazua nikaona wakati ule Pinda alitoa ahadi tamu sana ili "kuimarisha kiti alichokabidhiwa akalie" sasa naona kimekomaa ameanza kutugeuka.
 
Bubu, si sahihi kutegemea kwamba mtu mmoja anaweza kubadilisha system yote ya serikali. Hata kama Pinda personally ni mtu mzuri, bado ni kada wa chama tawala na yumo ndani ya system, tena toka enzi za Nyerere. Ni yale yale ya kumpa Kikwete asilimia kubwa ya kura tukitegemea mabadiliko as though he is the second coming of Christ. haiwezekani, tuwe realistic.
 
Bubu, si sahihi kutegemea kwamba mtu mmoja anaweza kubadilisha system yote ya serikali. Hata kama Pinda personally ni mtu mzuri, bado ni kada wa chama tawala na yumo ndani ya system, tena toka enzi za Nyerere. Ni yale yale ya kumpa Kikwete asilimia kubwa ya kura tukitegemea mabadiliko as though he is the second coming of Christ. haiwezekani, tuwe realistic.

Hmmm! Kauli zako inaelekea na wewe umo kwenye mtandao. Tuwe realistic mpaka lini? :confused:
 
Mimi sioni huo ubora wa Pinda,nini ambacho amekifanya mpaka sasa ambacho ni mark ya uongozi wake.Mbaya zaidi huyu jamaa sio aggresive kabisa,na ngoja tuone kama walau hizo zahanati walizosema zitajengwa kila kata kama kweli zitawezekana lakini kwa Lowasa zingejengwa.
 
Back
Top Bottom