fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
MNYIKA "Nashangazwa na ukimya wa Serikali kuhusu utekelezaji wa mpango wa dharura wa umeme na maendeleo ya sekta ya nishati ambayo hivi sasa inakabiliwa na changamoto nyingi," Mnyika alikaririwa akisema juzi.
Ngeleja acha porojo, hatua kadhaa ni kitu gani hicho? Acha blah blah njoo na takwimu hapo tutakuelewa lakini kiukweli kati yako na Mnyika wewe ndiye mnafiki maana unapinga kauli yake pasipo kuwa na takwimu zozote.. mipango ya kwenye makaratasi tumeizoea usifikiri watanzania ni wale wale..NGELEJA "Si kweli kuwa tumeshindwa kuhimili mahitaji ya sasa, nakubali zipo changamoto, lakini Serikali imechukua hatua kadhaa tangu ulipotolewa Mpango wa dharura bungeni Agosti mwaka jana. Namshangaa Mheshimiwa Mnyika kwa sababu ni mbunge na Mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini, anayajua haya. Huu ni unafiki mkubwa na wananchi wanapaswa kumpuuza," amesema Ngeleja.