Hamna ataeguswa hapo!!
Jiulize waliotajwa kwenye makinikia yupi yuko jela/mahabusu?
Wanaweza kuzuga kuwashitaki alafu baadae ukasikia DPP amefuta kesi!!
Wanaoshitakiwa na kufungwa ni wapinzani sio hao makada wa chama cha kijani(ukoo wa pa....nya).
Hajui kuwa anajimaliza kisiasa yeye mwenyewe na chama chake.Uko sahihi sana. Wanaofungwa na kunyanyaswa na utawala huu ni wapinzani kisa mkulu hana kifua cha ushindani wa kisiasa na sio kupambana na mafisadi. Hapa nikiona hatua ndio nitaamini kuna vita vya ufisadi. Kinyume na hapo vita vya ufisadi inayotangazwa ni kichaka cha kulipia visasi.
Cc: yehodaya, jingalao, kipara kipya
Mkolomije bunduki hiyo itunzevema mpaka kwa Mungu ukienda umuonyeshe na utoe sababu gani ulimpiga Lisu risasi!TL aliyeyakataa mambo haya bungeni kwa nguvu zote, wakaamua kumpiga risasi!
Hii ndiyo kashfa pekee kubwa ambayo nashangaa Chenge hayupoWaliotajwa ni Ngeleja, Karamagi, Kigoda, Majogo, Kalemani, Mpina, Tizeba, Rashid.
Wamo vigogo wa Polisi, TPDC.
CHANZO: NIPASHE
Atakuwepo tu, waziri ataingiaje mkataba kama huo bila kuwa na ridhaa ya AG (kita alaam na kiuandishi) na baraza la mawaziri? Labda kama sijui. Wanapotuambia tutakula nyasi unafikiri kiburi wanatoa wapi? Imani yangu ni huko huko kwenye baraza au kwa AG kama siyo vyote kwa pamoja. Yakigeuka ndo wanatafuta mchawi!!!!Hii ndiyo kashfa pekee kubwa ambayo nashangaa Chenge hayupo
jiwe linawalinda wezi wenzake kazi kuumiza wabunge wa upinzani tu tunamuaomba Mungu atujibieNawasikirikia wajumbe wa tume ya spika na hata waliohudhuria kuipokea ripoti ile kwa kupoteza muda wao bure! Hakuna hatua itakayochukuliwa hata sentimeta moja! Usiniulize kwanini ili kunitega! Nitajiondoa jf hatua zikichukuliwa kwa ndugu wapendwa wa bwana yule! Sanasana wajumbe wale wanaweza kubatizwa jina jipya kuwa sio wazalendo!
Watz tuna gundu mambo muhimu hatujawahi kuyafanya kwa ufanisi. Mfano bwana mmoja alio ukwaa ukatibu mkuu wa chama, alivyokuwa ana chambua bbc na dw huamini kauli alianza kuzitoa hivi kalibuni. Ni unafiki wa kiwango cha kishetani nilikuwa shabiki wake sasa najutaWaliotajwa ni Ngeleja, Karamagi, Kigoda, Majogo, Kalemani, Mpina, Tizeba, Rashid.
- Wamo vigogo wa Polisi, TPDC.
View attachment 792858
CHANZO: NIPASHE
Watz tuna gundu mambo muhimu hatujawahi kuyafanya kwa ufanisi. Mfano bwana mmoja alio ukwaa ukatibu mkuu wa chama, alivyokuwa anachambua bbc na dw huamini kauli alianza kuzitoa hivi kalibuni. Ni unafiki wa kiwango cha kishetani nilikuwa shabiki wake sasa najuta
jiwe linawalinda wezi wenzake kazi kuumiza wabunge wa upinzani tu tunamuaomba Mungu atujibie