KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Wiki iliyopita Mafundi wa Tanesco walianza kufanyia utafiti nguzo namba 19 na Namba 20 kubaini ni kwa nini Umeme haupiti Maeneo hayo.Hata hivya gari ya Winchi imeharibika mda mfupi baada ya kumupandisha Technecian kwenye nguzo namba 19 ambapo ilisababisha kushaka haraka na kuonda ktk maeneo hayo!Mpaka sasa gari hilo la Winch limetelekezwa kwenye nguzo namba 19