Mimi nianvyojua maana ya kampeni ni kuwashawishi wapiga kura wakuchague na kuwaelezasera ya chama,
sasa huyu Ngeleja anavyowatishia kwa hiyo ina maana wakichagua CCM watakuwa wanafanya kazi bure bila kulipa mapato,
Hapoa anajaribu kuonyesha CCM ni chama cha aina gani (thats why sipendi siasa)
sasa huyu Ngeleja anavyowatishia kwa hiyo ina maana wakichagua CCM watakuwa wanafanya kazi bure bila kulipa mapato,
Hapoa anajaribu kuonyesha CCM ni chama cha aina gani (thats why sipendi siasa)