Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Kweli inakera saaaaaaaaaaaana kwani tunaishi maisha ya kubahatisha. Huwezi kuplan kitu chochote kila kwasababu haujui nishati ya umeme inapatikanaje.
Kama Arusha imekuwa ni upumbavu mtupu. Kwa siku tatu sasa umeme haujulikani unakuja saaa ngapi wala unakatika saa ngapi. This is terrible. Kinachoniuzi wiki iliyopita Ngeleja akasema kuanzia wiki hii mgao utapungua kwa kiasi kikubwa kwani Symbion, IPTL na nani sijui wameanza kuzalisha umeme.
Kweli this is ridiculous na Ngeleja kubali kwamba kazi umeshindwa achia vijana wengine competent, I am not sure if you know what you are doing, you are not serious and worse enough wala hili swala halikunyimi usingizi that's why you never miss your hangouts, Fiesta etc.
Ndo natoka ofisini hivi kwani umeme ndo kalasi
Kama Arusha imekuwa ni upumbavu mtupu. Kwa siku tatu sasa umeme haujulikani unakuja saaa ngapi wala unakatika saa ngapi. This is terrible. Kinachoniuzi wiki iliyopita Ngeleja akasema kuanzia wiki hii mgao utapungua kwa kiasi kikubwa kwani Symbion, IPTL na nani sijui wameanza kuzalisha umeme.
Kweli this is ridiculous na Ngeleja kubali kwamba kazi umeshindwa achia vijana wengine competent, I am not sure if you know what you are doing, you are not serious and worse enough wala hili swala halikunyimi usingizi that's why you never miss your hangouts, Fiesta etc.
Ndo natoka ofisini hivi kwani umeme ndo kalasi