Ngeleja acha kutufanya watanzania wapumbavu.

September aliyosema naona bado haijaisha labda mwisho wa mwezi huu ndio watarudisha umeme kama kawaida wakihakikisha ile 10% yao ya wahindi wauza majenereta imekwisha umeme utarudi hivyo tuendelee kutaabika hadi hapo watakapo maliza stock yao ya majenereta ndipo turudishiwe umeme ama sivyo endeleeni kutumia mishumaa,vibatari,chemli na taa za kichina.

Kamwe mgao hauotoisha ukiisha kichwa changu halali ya Ngeleja !
 
mnaonewa arusha andamaneni sisi umeme unakatika mara moja kwa wiki
 
bwana wee kuna wataalam wa kuandika hiyo
mihotuba yao
wameandika mambo na plan nzuriii
ili libajet lao lipite kisha hakuna utendaji wala
utekelezaji pumbav
fridge yangu imeharibika ajili ya hawa vilaza




Kweli inakera saaaaaaaaaaaana kwani tunaishi maisha ya kubahatisha. Huwezi kuplan kitu chochote kila kwasababu haujui nishati ya umeme inapatikanaje.

Kama Arusha imekuwa ni upumbavu mtupu. Kwa siku tatu sasa umeme haujulikani unakuja saaa ngapi wala unakatika saa ngapi. This is terrible. Kinachoniuzi wiki iliyopita Ngeleja akasema kuanzia wiki hii mgao utapungua kwa kiasi kikubwa kwani Symbion, IPTL na nani sijui wameanza kuzalisha umeme.

Kweli this is ridiculous na Ngeleja kubali kwamba kazi umeshindwa achia vijana wengine competent, I am not sure if you know what you are doing, you are not serious and worse enough wala hili swala halikunyimi usingizi that's why you never miss your hangouts, Fiesta etc.

Ndo natoka ofisini hivi kwani umeme ndo kalasi
 
haaaaa ndo mnanoa mapanga tayari kwa shughuli hiyo
mi simooooo



Wana JF, mnajua hili tatizo la umeme halina dalili ya ufumbuzi na sisi tumebaki kuongea tu? Kwanini JF isitumike kupanga Demostration? nashauri kila watu katika maeneo waliko tukutane online na kupanga jinsi gani na wapi tuanze demostration. mimi nipo TARIME, wote wa tarime tuwasiliane kazi ianze
 
mnaonewa arusha andamaneni sisi umeme unakatika mara moja kwa wiki

Usitutie hasira mkuu tuna wiki hatujauona umeme
Kuongeza ajira kwa mkuu wa kaya nafikiri alimaanisha kuongeza idadi ya vibaka mtaani maana wamezidi kinoma kwa sasa kwa kuwa umeme hakuna
Wale mafundi vyuma na garage kwa sasa wamegeukia kwenye ukibaka maana hakuna kazi kabisa
 
jamani si budget yake ishapita na ashaahidi kuwa September mgao utaisha
Tusubiri mwezi wa tisa bado mbichi japo leo ni kati kati ya mwezi
Anapanga wizara yake kutekeleza masuala yaliyopitishwa na wabunge kwenye budget na unavyojua hana katibu mkuu so mambo mengi ya kiutendaji yamesimama ikiwemo suala la kushughulikia mgao wa umeme
Akirudishiwa Katibu wake mkuu mambo yatakuwa sawa tuu na tutapata umeme full twenty four seven
 
Jaman katika nchi kama tanzania wale wanao bahatika kusomea mambo ya kuzalisha umeme ni wachache sana sasa unakuta kiongozi anakwambia tutaöngeza megawati je nini mana yake huku ni kutudanganya kwani hakuna neno jingine jepesi.mfn mwananchi wa kawaida hatujui nin mana ya megawati sasa wajiulize kuwa wasilete lugha za kisayansi mtani.wametuchoka ndio mana wanafanya wanavyotaka wao ila Dawa yao ipo jikon inachemka
 
jamani si budget yake ishapita na ashaahidi kuwa September mgao utaisha <BR>Tusubiri mwezi wa tisa bado mbichi japo leo ni kati kati ya mwezi <BR>Anapanga wizara yake kutekeleza masuala yaliyopitishwa na wabunge kwenye budget na unavyojua hana katibu mkuu so mambo mengi ya kiutendaji yamesimama ikiwemo suala la kushughulikia mgao wa umeme<BR>Akirudishiwa Katibu wake mkuu mambo yatakuwa sawa tuu na tutapata umeme full twenty four seven
 
jamani si budget yake ishapita na ashaahidi kuwa September mgao utaisha
Tusubiri mwezi wa tisa bado mbichi japo leo ni kati kati ya mwezi
Anapanga wizara yake kutekeleza masuala yaliyopitishwa na wabunge kwenye budget na unavyojua hana katibu mkuu so mambo mengi ya kiutendaji yamesimama ikiwemo suala la kushughulikia mgao wa umeme
Akirudishiwa Katibu wake mkuu mambo yatakuwa sawa tuu na tutapata umeme full twenty four seven

Sasa niko kwenye mstari kwa hiyo nikukomonana sio, dahhh!! Tanzania yetu hii njii zuri sana full amani na uonevu.
 
Sasa niko kwenye mstari kwa hiyo nikukomonana sio, dahhh!! Tanzania yetu hii njii zuri sana full amani na uonevu.

Sasa je
Nyie si mlipiga kelele walivyokuwa wanachangishana pesa za matumizi yao wakiwa dodoma
Na alivyorudishwa Jah-Hero si mlipiga kelele na kumuuliza kwa nini alienda kumpokea na kuacha kikao cha bunge
Sasa wizara haina mtendaji kwa hiyo subirini akipatikana katbu mkuu mwingine mambo yatatengememaa na umeme utapatikana
Maana katibu ndo anasimamia masuala yote ya megawatt zinazopatikana
 


My Take;

None Zero kabisaaaa

NB;
Mwakumbuka sera za CCM
zikinadiwa na JK kubwa lilikuwa ni kuongeza "AJIRA" kama umeme tu mpaka leo wameamua kuliita ni janga la kitaifa then sera za CCM katika hili wametudanganya wananchi its very simple wameshindwa uwajibikaji kwa wananchi, Huna umeme uzarishaji wa watu binafsi kwa viwanada vyao na mashirika ya UMMA, shughuli za watu binafsi zote zime lala yet Ngelleja unakuwa unawadanganya wananchi kuwa ukali wa mgao umepungua kumbe ndio kinyume chake ndio unaongezeka Viongzoi wetu husahau sana maneno waliyo yatoa kwenye ahadi zao za kutaka kuchaguliwa,

Nakumbuka JK alisha wahi kusema siasa ni mchezo mchafu na ni wakuzungusaha zungusha maneno na kweli yeye anaongoza kwa kuzungusha maneno. Sijui kama waandishi wa habari wanakumbuka hilo

Hivi ni nani mwenye last say ya jambo lolote Bongo hii kwa sasa? maana hii inasikitisha sana, wakati ule bajeti ilivyogomewa tulipata umeme tuksahau kabisa mgao, kasheshe imeanza baada ya kupitshwa bajeti, ni kama wanalipiza zile wiki mbili walizotu "pendelea", ndio maana tanesco kuwapa watu umeme ni kama kuwapendela, zawadi, na si haki, achilia mbali huduma, wiki mbili zilizopita alinukuliwa kuwa mgao unaisha ndani ya siku 2, hazijafika, ndo makali yameongezeka, labda tuna namna tofauti ya kuhesabu siku, this is very sad and too bad!
 
Back
Top Bottom