Ngedere wanaharibu mazao msaada tafadhali.

Habari za wakati huu!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ninasumbuliwa sana na wanyama waharibifu hususan ngedere shambani kwangu. Nimetumia mbinu mbalimbali mfano kuwatega mitego, kuwafukuza kwa kutumia mbwa n.k ila mbinu zote hizi zimefeli. Kwa yeyote ambaye anafahamu mbinu mbadala ya kuwadhibiti anifahamishe au kama kuna aina ya sumu ya kuwawekea isiyo na harufu pia itakuwa nzuri zaidi maana ni wajanja mno ukiweka sumu ya kawaida hawali wanasikia harufu.
Nawasilisha.


Mkuu huko shambani kwako hakuna nduguze Kikwete (wakwere)? Wale jamaa wanapenda kujifananisha na wachina wa Tanzania (Wahehe) kwa kula vitu vya hajabu.
 
Back
Top Bottom