NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,923
- 1,150
585,000yap, ur right bro...
sory, take home ya TGS E, Ukijumlisha na makato ya bodi, inabakia na sh ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
585,000yap, ur right bro...
sory, take home ya TGS E, Ukijumlisha na makato ya bodi, inabakia na sh ngap?
Kumbe package nzuri nzuri,ndiyo maana Bila GodFather utazisikia tuu hizo posts hata kama Vigezo unavyo.3years degree programs - 1.6m
4years degree programs - 1.7m
5years degree programs - 1.8m
Kumbe package nzuri nzuri,ndiyo maana Bila GodFather utazisikia tuu hizo posts hata kama Vigezo unavyo.
Kaka watu tuna zaidi ya hiyo mbaali kabisa tena Uhandisi na hiyo kazi tunaitaka.Changamoto ni who know you (kwa Tanzania utasubiri sana kama hakuna anayekujua)You need good GPA minimum 3.8
These are academic posts. Most of us, hatupendi kufundisha kwa sababu ni kipaji pia.
na assistant lecturer je how much anaanzia?3years degree programs - 1.6m
4years degree programs - 1.7m
5years degree programs - 1.8m
Msaada PHTS1 salary scale tutorial assistant ni sawa na kiasi gani
na assistant lecturer je how much anaanzia?
Hapa sana sana wanatangatanga kumshusha wa juu na sio kupandisha wale walio chini...
Thanx brobetween 2.5 to 2.9m sina hakika sana!
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Sawa tunashkuru kwa kutufumbua machoWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
725,000 kabla ya makatoIvi scale ya TGS D ya mwaka 2015 ni sh ngapi?
Kwa mtu aliyesoma Degree ya Economics na akaajiriwa kuwa AFISA TARAFA.
Atakuwa anachukua Mshahara kiasi gani?
Duuh sio kitoto725,000 kabla ya makato
Duuh sio kitoto