nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,117
- 1,827
MNAJISEMEA TUSure
MNAJISEMEA TUSure
Haha nani kakwmbia ni 16 naona unakariri sana maisha endelea kukariri kwanza post syo 16 tu alafu...watu wengi nowajuwa ni wa hali ya chini sana wapo kwenye mataasisi nyeti kwa hyo ww endelea kukariri maisha na kujirudisha nyuma siko kma ww mxeeewHiyo post unayotaka kuomba hapa TPA zote 16 tayari zina watu.
Pole dada yangu
Usilolijua bibie ofisi ina uhitaji wa operation officers 16. Sita tayari washachukua kimya kimya.Haha nani kakwmbia ni 16 naona unakariri sana maisha endelea kukariri kwanza post syo 16 tu alafu...watu wengi nowajuwa ni wa hali ya chini sana wapo kwenye mataasisi nyeti kwa hyo ww endelea kukariri maisha na kujirudisha nyuma siko kma ww mxeeew
Una uhakika naongelea opetations officer? Usijifanie mjuaji sana kzi syo za operation officer tu! Alafu nimeuliza kuhusu mshahara sijauliza ulete mdomo wko isiyo na maana kwngu! Nrudia kusema ww endelea kujirudisha nyuma mwenzngu ss hatuko kma ww wengi wameajiriwa kikawaida tunaona na tutaendelea kuona! Na sihtaji comment zako za kijinga niliuliza swal waweza jibu huwezi bsi ifunge mdomo wko sijaomba ushauri wala nn kwko mjinga wwUsilolijua bibie ofisi ina uhitaji wa operation officers 16. Sita tayari washachukua kimya kimya.
Kumi waliotangazwa ni bosheni tu mama yangu, vimemo vishafanya kazi, TPA ni maskani
Acha izo mwache akapambane usimkatishe tamaaHiyo post unayotaka kuomba hapa TPA zote 16 tayari zina watu.
Pole dada yangu
Kwa uandish huu unakwenda kuwa personal secretaryHaha nani kakwmbia ni 16 naona unakariri sana maisha endelea kukariri kwanza post syo 16 tu alafu...watu wengi nowajuwa ni wa hali ya chini sana wapo kwenye mataasisi nyeti kwa hyo ww endelea kukariri maisha na kujirudisha nyuma siko kma ww mxeeew
Vipi kwa kada nyingine Na zenyewe zina watu tayari ?Usilolijua bibie ofisi ina uhitaji wa operation officers 16. Sita tayari washachukua kimya kimya.
Kumi waliotangazwa ni bosheni tu mama yangu, vimemo vishafanya kazi, TPA ni maskani
716000Nauliza mshahara wa mwalimu degree ni bei gani wakuu??
Kama Sayansi 750,000Nauliza mshahara wa mwalimu degree ni bei gani wakuu??
Kama ni arts je ?? Means kuna utofauti na sayansi!?? Wakati wote na walimu na level ni moja??Kama Sayansi 750,000
Oky716000