Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,501
- 4,213
Naomba kufahamu mshahara wa katibu tawala wilaya
Ndio kitu gani?Mishara
Basic 680K,baada ya makato ni 554,000/=TGHS B, naombeni kujua basic salary yake na baada ya makato inakua sh ngapi?! (Ni diploma za afya hizo)
Kodi,hifadhi ya jamii,NHIFAsante na samahan, naomba kuelewa zaidi hapo makato unazungumzia ni yapi yani.
Taasisi ya elimu ya juu.level ni degreeNi serekalini?
Taja hiyo sector unayoenda kufanya kazi kama ni local au central government
Then utaje na level yako ya elimu
Hapo nazano utakuwa umerahisisha kaz uli upate majibu yako
Level ni degree holderTaasisi ya elimu ya juu.
Kma 3m hivNaomba kufahamu mshahara wa katibu tawala wilaya
TGSCTGS D