alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Nadhani ulinganifu Na utofauti Ni kwa fani Na fani wakuu Kuna fani mishahara n kichef chef......lkn ukiajiriwa serikalini ujue umekwepa ushindani ktk kazi n ukicheza unalemaa,kujitolea kwingi,siasa kuliko logic,.....na ushamba mwing huku hutakiw kuwa tajir yaaan n balaaa
Mkuu project Officer kwa vyuo Vikuu ama planning Officer mara nyingi wanalipaje?