MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Apigwe tu maana hakuna namna nyingine, tumechoka
Hii habari nimeisiki kama tetesi tangia jana nikiwa ofisini.
Yani yeye keshapiga dili kastaafu sasa kamwacha mwanawe nae pige dili. TZ buwana.
Huwataki!...we shangaa tu ya kwa kova,mbona sikuelewi yupo!na wengi tu tutawasikia...oooh ni ile ile.....tutaisoma hata wao wanajisoma....Tumepata Habari kutoka usomaji magazeti kwamba Mtoto wa kamanda Kova amekamatwa bandarini akiiba kontena.
Ukipenda kunyoshea watu vidole usisahau na wewe ipo siku utanyooshewa vidole,
Kova atoe taarifa kama alivyozoea kujitokeza kwenye TV na kutueleza wizi wa Mtoto wake, halafu nilimwona akijikomba eti atakuwa mwanasiasa hatutaki wanasiasa wanaofuga wezi nyumbani kwao.
Kamanda KOVA ameishastaafu kwa amani na kwa heshima!. Hana liability yoyote na matendo ya mtoto wake ambaye ni over 18 years, mwacheni KOVA apumzike kwa amani!.
Pasco
Source tafadhaliTumepata Habari kutoka usomaji magazeti kwamba Mtoto wa kamanda Kova amekamatwa bandarini akiiba kontena.
Ukipenda kunyoshea watu vidole usisahau na wewe ipo siku utanyooshewa vidole,
Kova atoe taarifa kama alivyozoea kujitokeza kwenye TV na kutueleza wizi wa Mtoto wake, halafu nilimwona akijikomba eti atakuwa mwanasiasa hatutaki wanasiasa wanaofuga wezi nyumbani kwao.
unadhani huwa wanajituma wenyewe ,wanatumwa na wazazi wao,rione angetoa wapi hela ya kununua hayo malori,hata huyu kova junior usikute alikuwa wakala wa kova mkubwa one a president always a president,once a soldier always a soldier.huwezi kukamata panya wakati wewe unawafuga ndani mwakoKamanda unachosema ni kweli, lakini jina lake kwenye habari hii halikwepeki. Ndiyo maana mtoto wa rais akikojoa hadharani hiyo ni news, lakini mtoto wa kabwela tu hapo hakuna cha kuandikwa.
Rizidhiwani anaandikwa kwa sababu ya jina la baba yake, lakini angekuwa kapuku tu, wala wasingehangaika naye.
Kwa hili la mtoto wa Kova hakuna namna. Soma JAMHURi.
Kova kastahafuTumepata Habari kutoka usomaji magazeti kwamba Mtoto wa kamanda Kova amekamatwa bandarini akiiba kontena.
Ukipenda kunyoshea watu vidole usisahau na wewe ipo siku utanyooshewa vidole,
Kova atoe taarifa kama alivyozoea kujitokeza kwenye TV na kutueleza wizi wa Mtoto wake, halafu nilimwona akijikomba eti atakuwa mwanasiasa hatutaki wanasiasa wanaofuga wezi nyumbani kwao.
Kamanda KOVA ameishastaafu kwa amani na kwa heshima!. Hana liability yoyote na matendo ya mtoto wake ambaye ni over 18 years, mwacheni KOVA apumzike kwa amani!.
Pasco
Tumepata Habari kutoka usomaji magazeti kwamba Mtoto wa kamanda Kova amekamatwa bandarini akiiba kontena.
Ukipenda kunyoshea watu vidole usisahau na wewe ipo siku utanyooshewa vidole,
Kova atoe taarifa kama alivyozoea kujitokeza kwenye TV na kutueleza wizi wa Mtoto wake, halafu nilimwona akijikomba eti atakuwa mwanasiasa hatutaki wanasiasa wanaofuga wezi nyumbani kwao.