kaka ili kupukana na kichefu chefu cha waajiri wa hapa nyumbani nakushauri utafute kazi katika hizi International Organizations/corporations ambazo zipo nyingi tu na lengo lao naamini ni kuwaondolea umaskini watanzania, na wanatangaza kazi kila uchao katika media, mostly local english newspaper. suala la Mshahara siku hizi ni negotiable, wasomi wamekuwa wengi na Qualified in Tz kwa sasa, tofauti na last 9 yrs.
 
Nitafute nina idea ya biashara flani hivi nilishindwa kuianzisha kwa sababu ya elimu yangu na kazi yangu.bongo watakujazia usiku tu.kama una wazo la kujiajiri.
 
ahahahahaha...unaulizia TGS scale au ajira za watu binafsi? kwa TGS Scales kaka nisikufiche wala nini ukikamata BOT na TRA shavu dodo hukosi kitu kama million 4 kwa mwezi...ila ukidondokea hapo ttcl..lazma uchezee kitu ya laki 4-6 kwa mwezi....HUKU SECTOR BINAFSI TULIKO...UNAWEZA HATA KUPEWA U-DIRECTOR NA UKAAMBULIA SHARES ZA HIYO KAMPUNI, ila mzee huoni kama unakuja kuwanyima ajira wadogo zako 20,000 waliomaliza UDOM na main Campus kwakuwa hawana xperience kama yako?...kwanini usijipange ukawaajiri kama 10 hivi kwa kuanzia kampuni yako...au ujasiriamali ndio hukufundishwa huko chuoni kwenu ulaya?...maana nasikia eti ulaya topic wanazofundishwa wazungu ni tofauti na za weusi..eti mkijua mambo mtaendelea washindwe kuwanyonya kama walivyoshindwa china na japani...

Tena kama vipi ukifika mjini nistue kwa experience yako ya ulaya najua lugha imekaa vizuri tutafly togeza mkuu...tafuta na mzungu m1 atakuwa partner wetu tuanzishe hata kampuni ya ku-supply umeme tuitwe wawekezaji pesa tunakopa bank kwa udhamini wa serikali yetu...na tunakuwa vizuri mzee.

Ni maoni yangu mkuu nothing personal ila full meseji
 
ahahahahaha...unaulizia TGS scale au ajira za watu binafsi? kwa TGS Scales kaka nisikufiche wala nini ukikamata BOT na TRA shavu dodo hukosi kitu kama million 4 kwa mwezi...ila ukidondokea hapo ttcl..lazma uchezee kitu ya laki 4-6 kwa mwezi....HUKU SECTOR BINAFSI TULIKO...UNAWEZA HATA KUPEWA U-DIRECTOR NA UKAAMBULIA SHARES ZA HIYO KAMPUNI....

ila mzee huoni kama unakuja kuwanyima ajira wadogo zako 20,000 waliomaliza UDOM na main Campus kwakuwa hawana xperience kama yako?...kwanini usijipange ukawaajiri kama 10 hivi kwa kuanzia kampuni yako...au ujasiriamali ndio hukufundishwa huko chuoni kwenu ulaya?...maana nasikia eti ulaya topic wanazofundishwa wazungu ni tofauti na za weusi..eti mkijua mambo mtaendelea washindwe kuwanyonya kama walivyoshindwa china na japani...

Tena kama vipi ukifika mjini nistue kwa experience yako ya ulaya najua lugha imekaa vizuri tutafly togeza mkuu...tafuta na mzungu m1 atakuwa partner wetu tuanzishe hata kampuni ya ku-supply umeme tuitwe wawekezaji pesa tunakopa bank kwa udhamini wa serikali yetu...na tunakuwa vizuri mzee...Ni maoni yangu mkuu nothing personal ila full meseji

The great thinker,.a sharp shooter
 
Kiwango cha mshahara kwa mwenye experience kama yako kwenye private sector ni kuanzia $ 5000+

Hiyo nimesikia leo. Hizo mbona ni mshahara wa raisi kabla ya kuongeza per diems and mabomu mengine?

Usimwingize mjini mtoto wa mwenzio. Mwache ajiandilie TGS, ambayo kwa first degree kianzio ni kati ya laki 5-6 na kama karudi na MBA basi ategemee kitu kama 1m. Ila kama ana mpango wa kurudi na mkweche basi hizo zote ni pesa za mafuta yanayomalizikia kwenye jam. Kwa hiyo ajiandae kuwa mbayu wayu!
 
Safi sana baki nyumbani na ujenge inchi, wakuu acheni kumkatisha tamaa mbeba box anaweza akaamua kurudi ulaya mchango wake unahitajika bongo.

Nauhakika kuna ma member wanaotoka kwenye Telecommunication na banks mpeni jamaa viwango vya mkwanja

MJ
 
Mkuu nimewahi kusikia kuwa Tanzania kwa sasa kwa mtu mwenye elimu kama yako na ujuzi wa miaka kadhaa huwa analipwa vizuri sana.

Private Sector, Tukianzia kwenye banking:-

Wakuu wa idara kama (heads of Communications, Human Resources, Finance, Financial Markets, Monetary Analysis and Statistics ets wanalipwa kati ya $ 10,000 - $ 15,000

Na kwa Telecommunication

Wakuu wa idara Wakurugenzi na mameneja (heads, advertising, marketing, sales, HR, admin etc wanalipwa kuanzia $ 8000 - $ 12,000

Na nasikia asilimia zaidi ya 90 ni vijana wa kitanzania, jaribu kufuatilia mkuu.

MJ
 
Mkuu nimewahi kusikia kuwa Tanzania kwa sasa kwa mtu mwenye elimu kama yako na ujuzi wa miaka kadhaa huwa analipwa vizuri sana.

Private Sector, Tukianzia kwenye banking:-

Wakuu wa idara kama (heads of Communications, Human Resources, Finance, Financial Markets, Monetary Analysis and Statistics ets wanalipwa kati ya $ 10,000 - $ 15,000

Na kwa Telecommunication

Wakuu wa idara Wakurugenzi na mameneja (heads, advertising, marketing, sales, HR, admin etc wanalipwa kuanzia $ 8000 - $ 12,000

Na nasikia asilimia zaidi ya 90 ni vijana wa kitanzania, jaribu kufuatilia mkuu.

MJ

Usimdanganye mwenzio, wangekuwa wanapata hizo wasingetangaza nia ya kugombea ubunge kila kukicha kwa kukimbilia posho ya TZS 50,000 kwa siku kwa miezi miwili kila mwaka.

Hapa bongo hiyo ni mishahara ya CEO au MD au Diretor kwenye secta binafsi. Serikalini huwezi kupata hizo labda uwe "mbayuwayu"
 
Usimdanganye mwenzio, wangekuwa wanapata hizo wasingetangaza nia ya kugombea ubunge kila kukicha kwa kukimbilia posho ya TZS 50,000 kwa siku kwa miezi miwili kila mwaka.

Hapa bongo hiyo ni mishahara ya CEO au MD au Diretor kwenye secta binafsi. Serikalini huwezi kupata hizo labda uwe "mbayuwayu"

Msaidie jamaa basi, ukiona mtu amepost swali hapa jua anahitaji msaada.
 
Msaidie jamaa basi, ukiona mtu amepost swali hapa jua anahitaji msaada.
Mkubwa usiweke sana na mawazo ya kuajiriwa.....make money, then ukirudi bongo ujiajiri.......kuwa mbunifu banaa!!!!
Kwa Serikalini mkubwa sio siri kwa mwenye degree mishahara inaanzia laki 3.....ila kwa sekta binafsi nimakubaliano kati yako na mwajiri na ndo maana ktk interview kuna swali linalohusiana na mshahara.........lengo ni kukukamua,ukisema unataka laki 1 basi mkubwa itakua imekula kwako.
Lakini kwa nn umeamua kurudi bongo?umekumbuka vitumbua nn!!!ila usije kujuta.

Mchana mwema,
Made
 
Hiyo nimesikia leo. Hizo mbona ni mshahara wa raisi kabla ya kuongeza per diems and mabomu mengine?

.......


Kama ulikuwa hujaisikia, basi habari ndio hiyo. Watu wanachukua hadi $ 8000 kwenye private sector! Sijui nani mbayuwayu.
 
Kama ulikuwa hujaisikia, basi habari ndio hiyo. Watu wanachukua hadi $ 8000 kwenye private sector! Sijui nani mbayuwayu.

Asante mkuu kumbe habari nilizonazo ni sahihi. sema atahitaji connection bongo inawenyewe....kaka initial zako za majina ni zipi?..
 
Kama ulikuwa hujaisikia, basi habari ndio hiyo. Watu wanachukua hadi $ 8000 kwenye private sector! Sijui nani mbayuwayu.

Sijakataa ila umeona surnames za hao unawaongelea? Unaweza kukuta wengine wanalipwa wao na majina yao. Sasa sisi tuliotoka kijijini peke yetu inakuwa hivyo?
 
yaani umetoka ughaibuni kuja kuulizia viwango vya bongo?

Au umekuja kutucheka kwani viwango vyenyewe havitajiki kirahisi kiasi hicho....
Hapa kwetu mshahara wa rais kujua kitendawili kwani wanaogopa aibu watu wakijua viwango vyao wakati huko kwa wenzetu usa,uk,german na kwingineko viwango viko wazi kwa kuwa wanalipwa kutoka na uwezo wa nchi zao.

Usitake kutuchunguza kiasi hicho........
Afu mheshimiwa kweli kwa uzoefu wa miaka yote hiyo bado unatafuta kuajiliwa? hapa ndipo mbongo zetu zinapoonesha kulaa usingizi wa pono, hata siku moja hatufikilii kuwa wajasiriamali na kuajili wengine isipokuwa tunatafuta kuajiliwa tu................

SIAMINI KM TUTAKUJA KUFIKA KWA MTINDO HHUUUUU
 
Back
Top Bottom