Nadhani hii ni TGS E mkuu!

Niliwahi kupata kazi serikalini kwa TGS E na kitu kilikuwa kinachezea hapo...ofcourse nilisepa


Mbuvu yuko sahihi jamani, TGSD nI 322 ELUFU! hiyo kwako mkuu labda ilikuwa enzi zile.....
Then jambo la kusikitisha vi semina, vikongamanao, vi warsha pinda kavifuta vyoote! Sijui jamaa wanaishije kweli duniani hakuna usawa! wakati kuna watu wanajengewa nyumba moja ya kulala kwa mabilioni na taasisi ya umma mtu mwingine mwenye mahitaji sawa analipwa 322 elufu kabla ya makato! na hapo hajachukua mkopo SACCOS!!!!!....
 
Wapwa nawashukuru,,,nimeamua kuchana resume niliyoiandaa,,acha tu niendelee kubanana hapa hapa,, japo kipunda punda,,, ukirudi home hata Mwajuma huna haja nae..

Usichane resume yako. Badala ya kuomba hiyo kazi, sasa omba ukurugenzi, ukatibu mkuu, ukuu wa wilaya/mkoa. Ukishindwa omba basi hata ubunge manake utaweza kupata na uwaziri halafu mshahara wako pamoja na marupurupu yanaanzia mil 3 hadi karibia 20 kwa mwezi. Sio unaona kunavyolipa serikalini?

Ukishindwa vyote hivyo, hata ukatibu wa ccm wa wilaya? manake nako unaanzia na zaidi ya milioni! Hii nchi si inawenyewe? kama hutaki kuwa miongoni mwao, basi utaishia na hivyo vilaki 2 au 3 vile!

Hii post yako imenikumbusha mbali kweli. "Mtoto wa nyani alipomuuliza mama yake, mpaka wa shamba lao ili asijekula mahindi yasiyokuwa ya kwao. Mama alimjibu, kula tu mwanangu wenyewe watakuja kugawa". Tanzania, wanaendelea kula tu, hadi wenyewe watakapokuja kugawa! maybe in 50 or 100 years to come! who knows/cares? Don't you see them keeping a distance?
 
Mbuvu yuko sahihi jamani, TGSD nI 322 ELUFU! hiyo kwako mkuu labda ilikuwa enzi zile.....
Then jambo la kusikitisha vi semina, vikongamanao, vi warsha pinda kavifuta vyoote! Sijui jamaa wanaishije kweli duniani hakuna usawa! wakati kuna watu wanajengewa nyumba moja ya kulala kwa mabilioni na taasisi ya umma mtu mwingine mwenye mahitaji sawa analipwa 322 elufu kabla ya makato! na hapo hajachukua mkopo SACCOS!!!!!....


dah ikumbukwe sio idara zote za serekali wafanyakazi wote wanabahatika kupata SEMINA, WASHA, nk, unazipata pale ambapo mabosi wameshatosheka au kwo hailipi, unaweza kukaa mwaka bila kupata hiyo semina wala washa, kwa ukweli ajira serekalini yahitaji moyo saana
 
Wapwa nawashukuru,,,nimeamua kuchana resume niliyoiandaa,,acha tu niendelee kubanana hapa hapa,, japo kipunda punda,,, ukirudi home hata Mwajuma huna haja nae..

Mshirazi,
Inategemea unaajiriwa wizara gani na katika wizara hiyo pia unawekwa kitengo gani. Ziko wizara ambazo wana project nyingi ambazo posho zake tu zinazidi mshahara wa Profesa wa Chuo Kikuu.

Pia kama wadau wengine walivyosema una nafasi pia ya kujiendeleza kielimu zaidi huku ajira yako ikiwa inakusubiri. Unaweza kuni-PM nikakupa hints zaidi.
 
Mshirazi,
Inategemea unaajiriwa wizara gani na katika wizara hiyo pia unawekwa kitengo gani. Ziko wizara ambazo wana project nyingi ambazo posho zake tu zinazidi mshahara wa Profesa wa Chuo Kikuu. Pia kama wadau wengine walivyosema una nafasi pia ya kujiendeleza kielimu zaidi huku ajira yako ikiwa inakusubiri. Unaweza kuni-PM nikakupa hints zaidi.

weka hapa basi nasi tufaidi mkuu
 
Wana JF, naomba msaada wenu, hivi PGSS salary scales, kwa mfano ukiambiwa PGSS 10 ndiyo kiasi gani? I will be happy if I get information za scales zote specifically from pgss 6 to pgss 21.
 
Heshima mbele wakuu.

Nimerudi home na nisingependa kurudi tena ughaibuni kuhangaika na box, nimebahatika kuishi huko kwa miaka 9, ambapo nilipata degree yangu ya Business administration Marketing + Sales na kufanya kazi kwenye baadhi ya corporation za banking na Telecom kwa kipindi cha miaka mitano.

Ningependa kujua viwango nya mishahara ya hapa nyumbani, hasa hasa kwenye sekta za finance kama banking na kampuni zakutoa mikopo na vile vile kwenye sekta ya Telecommunication/communication.

Asanteni kwa hayo.

Kunta
 
115 Reactions
Reply
Back
Top Bottom