Ngasa ajiunga el marreikh

mpalu

JF-Expert Member
Sep 15, 2010
2,521
870
Mrisho Ngassa amejiunga El Marreikh kwa dola 70,000 kutoka Azam......mshahara atajijua mwenyewe!!....ikumbukwe kuwa Ngassa ni mali ya Azam sio Simba...
 
all the best mrisho khalfan ngassa.
Timu za wachawi kama simba na yanga hazikufai, ndizo zinzo spoil mpira wako
Kumbuka lakin hata azam walishaanza kuspoil mpira wake simba ndio waliomrudisha
 
MPIRA WA BONGO KIBOKO .....NGASA ALIVUTA MIKWANJA SIMBA NA BADO ALIKUWA NA MKATABA NA AZAM....SIMBA WAMELIWA RB NAONA DALILI YA RB NYINGINE KUNUKIA.....Rage upo
 
MPIRA WA BONGO KIBOKO .....NGASA ALIVUTA MIKWANJA SIMBA NA BADO ALIKUWA NA MKATABA NA AZAM....SIMBA WAMELIWA RB NAONA DALILI YA RB NYINGINE KUNUKIA.....Rage upo
mkataba ndani ya mkataba,mkataba wake na simba unaeleza kipindi atakachokuwa nao na vinginevyo pia kuna makubaliano
 
Kila la kheri kijana. Yanga walishindwa kukuuza. Afadhali Azam wamefanikiwa kwa mbeleko ya Simba.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
....ikumbukwe kuwa Ngassa ni mali ya Azam sio Simba...

Simba ilifanikiwa kumalizana na Ngassa jana na kusaini naye mkataba wa miaka miwili, ambao umemfanya aondoke na zaidi ya Sh. Milioni 35, Milioni 12 akipewa taslimu na nyingine akipewa gari (Milioni 18), wakati mpenzi mwingine wa Simba amemuongezea Milioni 5.

Katika mkataba huo wa Simba na Ngassa, mshambuliaji huyo atakuwa akilipwa Sh. Milioni 2 mshahara kwa mwezi, Milioni 1 ipo kwenye fomu ya mkataba na Milioni 1 atakuwa akiongezewa na mtu.
Usajili wa mchezaji huyo, ulikakamilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Hans Pop, ambaye ndiye alitoa fedha hizo na baada ya kumsainisha na kumkabidhi haki yake, ili kumuondolea usumbufu akambadilishia ‘chipu' ya simu, ili akina Seif Magari wasimpate. Simba ilifanikiwa kumalizana na Ngassa jana na kusaini naye mkataba wa miaka miwili, ambao umemfanya aondoke na zaidi ya Sh. Milioni 35, Milioni 12 akipewa taslimu na nyingine akipewa gari (Milioni 18), wakati mpenzi mwingine wa Simba amemuongezea Milioni 5.
Katika mkataba huo wa Simba na Ngassa, mshambuliaji huyo atakuwa akilipwa Sh. Milioni 2 mshahara kwa mwezi, Milioni 1 ipo kwenye fomu ya mkataba na Milioni 1 atakuwa akiongezewa na mtu.
Usajili wa mchezaji huyo, ulikakamilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Hans Pop, ambaye ndiye alitoa fedha hizo na baada ya kumsainisha na kumkabidhi haki yake, ili kumuondolea usumbufu akambadilishia ‘chipu' ya simu, ili akina Seif Magari wasimpate.

Tumuamini nani?
 
Back
Top Bottom