pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 221
- 431
Nimeona katika ukurasa wa road aafety ambassadors kuna video inaonyesha lory la kampuni ya lake oil limeanguka na inasemekana dereva amefariki wabongo kama kawaida wana gema mafuta dah wahusika chukueni hatua mapema kabla mtu hajachomoa betri aisee
=====
Lori la Mafuta limeanguka Rusumo Magereza (Machinjioni) Kama unaenda mpaka wa Rwanda na Tanzania Rusumo.
Mafuta yanamwagika. Wapambanaji mliopo hapo mkazuie balaa hapo. Hakuna Vifo ila Dereva ndo amejeruhiwa na kapelekwa Hospitali
=====
Lori la Mafuta limeanguka Rusumo Magereza (Machinjioni) Kama unaenda mpaka wa Rwanda na Tanzania Rusumo.
Mafuta yanamwagika. Wapambanaji mliopo hapo mkazuie balaa hapo. Hakuna Vifo ila Dereva ndo amejeruhiwa na kapelekwa Hospitali