Ngalalekumtwa: 2017 Ukame ulikuwa mkali na mlikuwa kimya

MANKA MUSA

JF-Expert Member
Jul 9, 2014
922
1,093
Watanzania ni wepesi wa kusahau, wanasahau mapema mithili ya maisha ya nzi Mwaka 2017 kulikuwa na ukame mkali hadi kupungua kwa chakula kabisa hakuna aliyethubutu kusema hata kidogo. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha SGR.

Wamesahau Magufuli akiwa Kwenye ziara mkoani Simiyu wakulima walipomlilia njaa aliwajibu yeye si Baba yao wakatafute chakula wanapojua wao.

Mwaka ule ni Baraza la Maaskofu lilithubutu kuweka wazi juu ya baa la njaa kupitia taarifa ya baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki.

Kutoka kwa Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika barua yake iliyotiwa mkwaju tarehe 13 Januari 2017.

Tarcisius Ngalalekumtwa ndio Askofu wa Kanisa Katoliki ambae aliiongoza TEC kama Rais na haikuwahi kuyumbishwa chini ya mamlaka yake hata siku moja. Kumbuka waraka wa TEC kuhusu mauaji ya Kibiti na kuhusu haki za binadamu.

Watanzania wana kasumba ya unafiki inatutesa hadi leo Mwaka 2017 nchi ilikumbwa na ukame mkali hatukupewa taarifa kila mtu alikufa na njaa yake, maji na Umeme vilikuwa vya tabu kwakuwa tunasahau leo tumeubeba ukasuku.

Ni kanisa Katoliki pekee lilisimama kuisema Serikali itangaze juu ya hali ya Ukame. Iweje leo muishambulie Serikali inayowaambia ukweli juu ya upungufu wa mvua?

Hakuna Serikali inayopenda watu wakae gizani, wafe na njaa pamoja na kiu hakuna hiyo Serikali. Mabadiliko ya tabia nchi yanatuadhibu sote tujipange kama Wananchi kulinda na kuyatunza mazingira ukikosa maji leo kesho amka upande mti mmoja hata wa mwarubaini.
 
Umeandika kwa Hisia Kali sana Ndugu Mwandishi.

Nchi yetu ni Masikini Mno masikini sana.

Tunaongozwa na VIONGOZI wa HOVYO mno.

"Hakuna umasikini Mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.

Viongozi ndiyo wanaleta mvua…? nchi za Ulaya zimekumbwa na joto kali ambalo limesababisha moto katika baadhi ya nchini kama Uturuki, Uhispania na Italia. Huko pia ni uzembe wa viongozi wa Tanzania.
 
Watanzania ni wepesi wa kusahau, wanasahau mapema mithili ya maisha ya nzi Mwaka 2017 kulikuwa na ukame mkali hadi kupungua kwa chakula kabisa hakuna aliyethubutu kusema hata kidogo. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha SGR.

Wamesahau Magufuli akiwa Kwenye ziara mkoani Simiyu wakulima walipomlilia njaa aliwajibu yeye si Baba yao wakatafute chakula wanapojua wao.

Mwaka ule ni Baraza la Maaskofu lilithubutu kuweka wazi juu ya baa la njaa kupitia taarifa ya baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki.

Kutoka kwa Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika barua yake iliyotiwa mkwaju tarehe 13 Januari 2017.

Tarcisius Ngalalekumtwa ndio Askofu wa Kanisa Katoliki ambae aliiongoza TEC kama Rais na haikuwahi kuyumbishwa chini ya mamlaka yake hata siku moja. Kumbuka waraka wa TEC kuhusu mauaji ya Kibiti na kuhusu haki za binadamu.

Watanzania wana kasumba ya unafiki inatutesa hadi leo Mwaka 2017 nchi ilikumbwa na ukame mkali hatukupewa taarifa kila mtu alikufa na njaa yake, maji na Umeme vilikuwa vya tabu kwakuwa tunasahau leo tumeubeba ukasuku.

Ni kanisa Katoliki pekee lilisimama kuisema Serikali itangaze juu ya hali ya Ukame. Iweje leo muishambulie Serikali inayowaambia ukweli juu ya upungufu wa mvua?

Hakuna Serikali inayopenda watu wakae gizani, wafe na njaa pamoja na kiu hakuna hiyo Serikali. Mabadiliko ya tabia nchi yanatuadhibu sote tujipange kama Wananchi kulinda na kuyatunza mazingira ukikosa maji leo kesho amka upande mti mmoja hata wa mwarubaini.
Ni sawa kulikua na ukame lakini serikali haikuuza mahindi na mchele nje ya nchi kama ilivyo sasa. Pili bei ya kilo ya mchele au unga wa mahindi haikuzidi 1,200/=
 
Kukosa chakula kwa kusingizia UKAME huu ni UPUMBAVU.

Imagine kuna nchi za uarabun huko ambako hakuna resources zozote zaid ya mchanga na maji chumvi ya bahari, na wanasurvive kupata vyakula vingi mpaka vingine wanawauzia ninyi mliobarikiwa ardhi nzuri na hali ya hewa nzuri.

Leo hii kutegemea kilimo cha mvua huu ni uchizi, kutegemea umeme wa maji nao huu ni uchizi vile vile, nchi ina kila aina ya resources za kuzalisha nishati ya umeme, mfano Gesi& madini ya Uranium.

Kulia lia hakuna mvua wakat kuna wasomi wengi nchini wanaoweza kuunda mashine za kitechnolojia(Pampu) za kuvuta maji visimani, mitoni na maziwani na kufanya kilimo cha umwagiliaji...hii nchi inaviongozi Visionless&useless, ingetungwa sheria kali kuwa kila mkulima lazma ajishughulishe na kilimo cha umwagiliaji bila kutegemea mvua, huku akipewa mitaji ya vitendea kazi na ruzuku ya pembejeo, I SWEAR HIVI VILIO VYA NJAA TUNGEVISIKIA BBC.

Bahat mbaya tunaongozwa na watu waliotakiwa kuongozwa
 
Watanzania ni wepesi wa kusahau, wanasahau mapema mithili ya maisha ya nzi Mwaka 2017 kulikuwa na ukame mkali hadi kupungua kwa chakula kabisa hakuna aliyethubutu kusema hata kidogo. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha SGR.

Wamesahau Magufuli akiwa Kwenye ziara mkoani Simiyu wakulima walipomlilia njaa aliwajibu yeye si Baba yao wakatafute chakula wanapojua wao.

Mwaka ule ni Baraza la Maaskofu lilithubutu kuweka wazi juu ya baa la njaa kupitia taarifa ya baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki.

Kutoka kwa Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika barua yake iliyotiwa mkwaju tarehe 13 Januari 2017.

Tarcisius Ngalalekumtwa ndio Askofu wa Kanisa Katoliki ambae aliiongoza TEC kama Rais na haikuwahi kuyumbishwa chini ya mamlaka yake hata siku moja. Kumbuka waraka wa TEC kuhusu mauaji ya Kibiti na kuhusu haki za binadamu.

Watanzania wana kasumba ya unafiki inatutesa hadi leo Mwaka 2017 nchi ilikumbwa na ukame mkali hatukupewa taarifa kila mtu alikufa na njaa yake, maji na Umeme vilikuwa vya tabu kwakuwa tunasahau leo tumeubeba ukasuku.

Ni kanisa Katoliki pekee lilisimama kuisema Serikali itangaze juu ya hali ya Ukame. Iweje leo muishambulie Serikali inayowaambia ukweli juu ya upungufu wa mvua?

Hakuna Serikali inayopenda watu wakae gizani, wafe na njaa pamoja na kiu hakuna hiyo Serikali. Mabadiliko ya tabia nchi yanatuadhibu sote tujipange kama Wananchi kulinda na kuyatunza mazingira ukikosa maji leo kesho amka upande mti mmoja hata wa mwarubaini.
Kuna mwaka mmja me nlikua kidato Cha pili huo mwaka ndo ilikua balaa mno
 
Umeandika kwa Hisia Kali sana Ndugu Mwandishi.

Nchi yetu ni Masikini Mno masikini sana.

Tunaongozwa na VIONGOZI wa HOVYO mno.

"Hakuna umasikini Mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Na baadhi ya watu wasishangae kwanini kila tatizo ilaumiwe serikali
Serikali ndiyo kama msingi na nguzo hivyo muhimili ukishakuwa mbovu mambo hayaendi sawa ata ukiezeka kwa bati imara
 
Watanzania ni wepesi wa kusahau, wanasahau mapema mithili ya maisha ya nzi Mwaka 2017 kulikuwa na ukame mkali hadi kupungua kwa chakula kabisa hakuna aliyethubutu kusema hata kidogo. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha SGR.

Wamesahau Magufuli akiwa Kwenye ziara mkoani Simiyu wakulima walipomlilia njaa aliwajibu yeye si Baba yao wakatafute chakula wanapojua wao.

Mwaka ule ni Baraza la Maaskofu lilithubutu kuweka wazi juu ya baa la njaa kupitia taarifa ya baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki.

Kutoka kwa Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika barua yake iliyotiwa mkwaju tarehe 13 Januari 2017.

Tarcisius Ngalalekumtwa ndio Askofu wa Kanisa Katoliki ambae aliiongoza TEC kama Rais na haikuwahi kuyumbishwa chini ya mamlaka yake hata siku moja. Kumbuka waraka wa TEC kuhusu mauaji ya Kibiti na kuhusu haki za binadamu.

Watanzania wana kasumba ya unafiki inatutesa hadi leo Mwaka 2017 nchi ilikumbwa na ukame mkali hatukupewa taarifa kila mtu alikufa na njaa yake, maji na Umeme vilikuwa vya tabu kwakuwa tunasahau leo tumeubeba ukasuku.

Ni kanisa Katoliki pekee lilisimama kuisema Serikali itangaze juu ya hali ya Ukame. Iweje leo muishambulie Serikali inayowaambia ukweli juu ya upungufu wa mvua?

Hakuna Serikali inayopenda watu wakae gizani, wafe na njaa pamoja na kiu hakuna hiyo Serikali. Mabadiliko ya tabia nchi yanatuadhibu sote tujipange kama Wananchi kulinda na kuyatunza mazingira ukikosa maji leo kesho amka upande mti mmoja hata wa mwarubaini.
Akili ya kawaida, inakuaje kuna njaa alafu bei za vyakula hazipandi???
 
Watanzania ni wajinga mno. Kila siku watu tunaanzisha mada humu kuhusu ukataji wa miti na uharibifu wa misitu kiwango cha kutisha unavyoenda kuharibu hii nchi siku si nyingi mijitu inadhani tunaongea ndoto za alinacha

Hii nchi bila kuchukua hatua madhubuti za kulinda mazingira hata 2030 tutafika nchi itakuwa inategemea nje chakula na umeme.

Ukataji wa miti na uharibifu wa misitu kwenye maeneo ambayo yalikuwa na misitu mikubwa Tanzania hasa mikoa ya Tabora, Katavi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Tanga, Morogoro, Pwani, Lindi na Mtwara ni wa kiwango cha kutisha sana. Na hii imesababishwa na makabila ya wafugaji ya Masai na Wasukuma ambao sasa wanaharibu hiyo misitu kwenye mikoa hiyo kwa kiwango cha kutisha

Ni ujinga kuwalaumu Mawaziri wa Nishati na Maji kwa matatizo yanayosababishwa na sisi wenyewe kuendekeza ujinga. Kwa hali hii tukifika 2030 inawezekana mvua zisiwe zinanyesha mwaka mzima.

Maaskofu Wakatoliki waliona hili kwenye kikao chao Maaskofu wa Afrika waliliongelea hili suala la Mazingira na Tabia nchi ila wananchi wetu wanaendeleza ujinga tu hawashtuki tu
 
Watanzania ni wepesi wa kusahau, wanasahau mapema mithili ya maisha ya nzi Mwaka 2017 kulikuwa na ukame mkali hadi kupungua kwa chakula kabisa hakuna aliyethubutu kusema hata kidogo. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha SGR.

Wamesahau Magufuli akiwa Kwenye ziara mkoani Simiyu wakulima walipomlilia njaa aliwajibu yeye si Baba yao wakatafute chakula wanapojua wao.

Mwaka ule ni Baraza la Maaskofu lilithubutu kuweka wazi juu ya baa la njaa kupitia taarifa ya baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki.

Kutoka kwa Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika barua yake iliyotiwa mkwaju tarehe 13 Januari 2017.

Tarcisius Ngalalekumtwa ndio Askofu wa Kanisa Katoliki ambae aliiongoza TEC kama Rais na haikuwahi kuyumbishwa chini ya mamlaka yake hata siku moja. Kumbuka waraka wa TEC kuhusu mauaji ya Kibiti na kuhusu haki za binadamu.

Watanzania wana kasumba ya unafiki inatutesa hadi leo Mwaka 2017 nchi ilikumbwa na ukame mkali hatukupewa taarifa kila mtu alikufa na njaa yake, maji na Umeme vilikuwa vya tabu kwakuwa tunasahau leo tumeubeba ukasuku.

Ni kanisa Katoliki pekee lilisimama kuisema Serikali itangaze juu ya hali ya Ukame. Iweje leo muishambulie Serikali inayowaambia ukweli juu ya upungufu wa mvua?

Hakuna Serikali inayopenda watu wakae gizani, wafe na njaa pamoja na kiu hakuna hiyo Serikali. Mabadiliko ya tabia nchi yanatuadhibu sote tujipange kama Wananchi kulinda na kuyatunza mazingira ukikosa maji leo kesho amka upande mti mmoja hata wa mwarubaini.
Sawa

Waambie

Wafunge mipaka wanusuru CHAKULA KIDOGO kilichobaki kiuzwe ndani ya nchi!!!
 
Back
Top Bottom