kuna watu naita haramu huku wanakula ngamia wakati ni mnyama wa kwanza kuharamishwa na nguruwe ni wa tatu. Nawashauri wasome vizuri vitabu vitakatifu
aisee kwa kino maeneo gani mkuu? mi nalijua chimbo la pale manyanya kama unaenda american chips hiviLeo lazima nipite mitaa flani ya kino huwa wanatengeneza kitu kama hii aisee!!!
aisee kwa kino maeneo gani mkuu? mi nalijua chimbo la pale manyanya kama unaenda american chips hivi
nimepasoma pale mkuu, daah nshapata mizuka ya kwenda kuibatua leo mkuu!Kuna lingine pale pale manyanya kwa Chini kama unaenda kambagwa SEC hatari sana anapenda sana kuwepo yule Dada yetu wa Bongo move aliewahi kuwa miss...!!!
Kitu inasura mbaya kama kiumbe wa ajabu bwana.
nimepasoma pale mkuu, daah nshapata mizuka ya kwenda kuibatua leo mkuu!