Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Messi ni wakuigwa. Hana mambo ya kijinga jinga. Ni kazi kwenda mbele
Umenishangaza ..unauliza uwezo wa kipesa wa Florentino Perez ..unafikiri hio hela ni kubwa sana kwake..kwani kwa neymar kutoka barca kwenda psg si mlitoa mapovu kwamba hamna wa kumtoa neymar barca mana hamna mwenye pesa...leo yuko wapi?!Madrid fans bwana Eti hatumtaki ....perez anatamani sana sana sana kumchukua Mfalme huyu, except uwezo huo hana,,,, dau la timu nyingine kuweza kumsajili kiumbe huyu/Mfalme Messi limetajwa kuwa ni pauni milioni 626,,,, Kiasi kinachohitajika kuvunja mkataba wake ni euro milioni 700 uwezo huo anao???? na madrid sio hadhi yake kubwa ukilinganisha na Barca....mtu anacheza the big club in the world atakie nini kuondoka!! Kitu gani amekosa pale mpaka aondoke!!!! Sasa kwa taarifa yako from now ballon d'0r 3 or 4 zinamnyemelea mfalme huyu...mark my words.
Hoja za kishabikiKwa sasa wamefulia kabisa.wamegeukia kumnadi Sharo Neema sio Ronaldo tena
Eti huyu ndiye anafukuzia ballon d'Or kipindi cha baba yao View attachment 676772 View attachment 676773
watasubiri sana. Kwa sasa watulize munkar astaafu soka nao wapiganie kuipata.
Mnapotoa hoja za kishabiki mkumbuke Lionel Messi hayuko peke yakeKwa sasa wamefulia kabisa.wamegeukia kumnadi Sharo Neema sio Ronaldo tena
Eti huyu ndiye anafukuzia ballon d'Or kipindi cha baba yao View attachment 676772 View attachment 676773
watasubiri sana. Kwa sasa watulize munkar astaafu soka nao wapiganie kuipata.
kaka watu wanaangalia mauzo sokoni,huyo jamaa ni brand inayouza, perez hakurupuki, kumbuka beckam alirudisha pesa hata kabla kuanza kucheza, cr 7 pia, kwa sasa ukiacha mes na cr neymar ndo brand inayouza sanaHiyo pesa ni ndefu mno,, in-short haiendani kabisa na uwezo alionao. Hata ile 200 hakustahili. Sema tu waarabu wanapesa za kumwaga.
na kama hawajui, huo ulikuwa mpango madhubuti wa kumchua naymar, isingewezekana aje direct kutoka barca, ikumbukwe pia baba yake naymar ndo wakala wake na tayali alishaa meza moja na perezi, pia real haijasajiri galact kwa muda mrefu huku enzi za cr7 zikielekea ukingoni, na midenguo mingi ya cr7 mara naondoka imeshamkera perez. lakin pia naymar anaona njia ya haraka kufika ndoto za mesi na cr7 ni kucheza real na si psg, real ni team kubwa na yeye ndo anaenda kuwa mfalme paleHahahah hata wakati neymar anatoka barcelona before watu kama nyie mlijua kwamba ni porojo za media,mkawa mnasena neymar ni second god wa barca baada ya messi... lakini waarabu wenye PESA zao walipoweka mezani haikua tena porojo za media bali kwamba neymar hana uwezo wa hio pesa ...sasa ataondoka ataenda madrid, ila saivi mnaona ni porojo za media subiri Mr Perez ainue simu yake...unajua maana ya galacticos?!
Anadhani Simba na yanga wale...Kama ww unaamini hiyo pesa haiendan na uwezo wake hayo ni mawazo yako..
Mpira ni pesa hasa wa sasa...Tulishangaa Pogba...Cr7...Bale...Kotinyo...Neymoney.....Vijk beki wa liva...watakuja beki wengine kwa pesa nzito
"'Perez is prepared to back his potential new man in the market by offloading Ronaldo, Gareth Bale and Karim Benzema in order to sign Kane, Dybala and Neymar.'" kutoka source za spain(Marca) kama hawaamini juu ya maamuzi na uwezo wa perez basi hao ni mashabi wa juzi juzi wa EPL, ila kwa mshabiki harisi anajua perez ni mtu wa aina gani akiamua lake jambo. sasa hivi ana hasira sana na zidane maana akuwa akiweka kauzibe kukubali usajiri mpya, mwisho wa msimu anapigwa chini,huenda kocha wa taifa wa ujeruman akapewa mikoba.Joackim L.Umenishangaza ..unauliza uwezo wa kipesa wa Florentino Perez ..unafikiri hio hela ni kubwa sana kwake..kwani kwa neymar kutoka barca kwenda psg si mlitoa mapovu kwamba hamna wa kumtoa neymar barca mana hamna mwenye pesa...leo yuko wapi?!
Messi kinachomsaidia kumuweka pale yeye kutoka damuni ni barca yeye pesa sio priority yake, anadhani ufalme wake ataujengea pale akishindana na Ronaldo kwaio unapotoa hoja usitoe kishabiki bali toa kama mtu mwenye ufahamu kuhusu mpira.
"'Perez is prepared to back his potential new man in the market by offloading Ronaldo, Gareth Bale and Karim Benzema in order to sign Kane, Dybala and Neymar.'" kutoka source za spain(Marca) kama hawaamini juu ya maamuzi na uwezo wa perez basi hao ni mashabi wa juzi juzi wa EPL, ila kwa mshabiki harisi anajua perez ni mtu wa aina gani akiamua lake jambo. sasa hivi ana hasira sana na zidane maana akuwa akiweka kauzibe kukubali usajiri mpya, mwisho wa msimu anapigwa chini,huenda kocha wa taifa wa ujeruman akapewa mikoba.Joackim L.
Mkuu kazi sana kumuelewesha SHABIKIna kama hawajui, huo ulikuwa mpango madhubuti wa kumchua naymar, isingewezekana aje direct kutoka barca, ikumbukwe pia baba yake naymar ndo wakala wake na tayali alishaa meza moja na perezi, pia real haijasajiri galact kwa muda mrefu huku enzi za cr7 zikielekea ukingoni, na midenguo mingi ya cr7 mara naondoka imeshamkera perez. lakin pia naymar anaona njia ya haraka kufika ndoto za mesi na cr7 ni kucheza real na si psg, real ni team kubwa na yeye ndo anaenda kuwa mfalme pale
Kwa sasa wamefulia kabisa.wamegeukia kumnadi Sharo Neema sio Ronaldo tena
Eti huyu ndiye anafukuzia ballon d'Or kipindi cha baba yao View attachment 676772 View attachment 676773
watasubiri sana. Kwa sasa watulize munkar astaafu soka nao wapiganie kuipata.
Wana Morocco Fc mpo? King Messi anakiamsha vibaya sana
Messi ni wakuigwa. Hana mambo ya kijinga jinga. Ni kazi kwenda mbele
KhaBajeti ya Serikali Visiwani......
Duh ngumu kumeza
Mwenye jero aniazme bas