santos mtn
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 346
- 368
ney mjanja sana show zake anabase kwenye tuwilaya ambato wasanii hua hawaend mara kwa mara sasa assume kaenda wilaya 30 na kila wilaya kaingiza M3 anakua katengeneza m90yap ndivyo hivyo ilivyo, kila mtu ana akili yake kubwa ya kupata fedha,,, hapo jaribu kufuata mkumbo ufe...huyu jamaa hata kabila analotoka linambeba, anatoka kwenye kabila la wachapa kazi na wenye akili kubwa za kusaka noti... mcheki barnaba na ney wote wanatoka kabila moja pia ni miongoni mwa wasanii wenye pesa chafu na mali lukuki... **note**.. siyo lazima ujue njia mtu anazotumia kupata pesa, ukijua unaweza kumzibia riziki ndio maana inakua siri waafrika ni hatari na ndivyo tulivyo..