Ney wa Mitego aanza mchakato wa kujiondoa BASATA, asema atasambaza muziki wake Mitaani

Hii ni baada ya masharti ya hovyo ya Sheria za Basata za kuruhusu wimbo upigwe redioni ama uonyeshwe kwenye TV .

Ney amesema atatunga na ataimbia mitaani na ikiwezekana atasambaza mtaa kwa mtaa mwenyewe .
Atakula unyumbu wake.

Jitu jinga kama nini badala ya kutumia kipaji chake kuimba lenyewe kutwa kujipendekeza kwa mboe
 
Back
Top Bottom