Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 343
Nacheck check ustaarabu wa kumwona niliye nae kama ataweza kwendana na mie pamoja ni mikazi yangu next year muda kama huu ntawaambia kuwa nachumbia wana JF...ila jamani twende kwenye fact this days unaweza kukuta mdada akiwa virgin since amezaliwa hakuna mme aliye mjua..?am just in somewhere i have been promise kwamba there some thing like that kwenye body a mwanadada mmoja.
Nimeambiwa niwe nasubira kupewa kilicho bora.Na ahadi ni kwamba nisubiri mpaka ntakapo mweka ndani...je katika mazingira ya kawaida naruhusiwa kusuburi mpaka ndoa na je kama nikiwa nasubili ambacho hakipo itakuwaje?Nisaidieni wenye mawazo
Nimeambiwa niwe nasubira kupewa kilicho bora.Na ahadi ni kwamba nisubiri mpaka ntakapo mweka ndani...je katika mazingira ya kawaida naruhusiwa kusuburi mpaka ndoa na je kama nikiwa nasubili ambacho hakipo itakuwaje?Nisaidieni wenye mawazo