Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Serikali inawanyima Ukawa nafas ya kufanya kazi
Wanasahau majukumu yao
Hayo meno ya tembo mbna cha mtoto
Wanasahau majukumu yao
Hayo meno ya tembo mbna cha mtoto
Hivi kuna mtu aliwahi kufungwa na mahakama za nchi hii kutokana na kesi kama hii ?Wakuu,
Inaweza kuchukuliwa kama tip tu kwa sasa lakini ni kuwa mchana wa leo zimenaswa takribani tani 5 za meno ya Tembo maeneo ya Kimara jijini Dar.
Taarifa zaidi naamini zitatolewa na Vyombo vya Dola na naamini si muda mrefu kuanzia sasa.
Mjumbe hauawi
Acha umbeaDuh! Hapo polisi washapiga zao 10, ndo wakabidhi 5!