News. Kuwa na wapenz kunasababisha saratan

mutahappy

JF-Expert Member
Dec 30, 2012
529
188
Umefafanuz umetolewa na wazir wa afya nchin kuwa mwanamke mwenye wapenz a.k.a mabwana weng yupo katika hatar kubwa ya kupata kansa ya mlango wa uzazi.

Kaz mnaojifanya mkigegendwa na mmoja hamridhik.
Source.ITV NEWS
 
ah wee watu wanatishiwa kifo lakini bado wanagegedana ndio iwe saratani.
 
Umefafanuz umetolewa na wazir wa afya nchin kuwa mwanamke mwenye wapenz a.k.a mabwana weng yupo katika hatar kubwa ya kupata kansa ya mlango wa uzazi.

Kaz mnaojifanya mkigegendwa na mmoja hamridhik.
Source.ITV NEWS

huyo waziri kasomea udaktari au kuna utafiti umefanywa yeye kaleta ripoti,hebu nifafanulie maana makahaba wangekua waathirika no. moja
 
huyo waziri kasomea udaktari au kuna utafiti umefanywa yeye kaleta ripoti,hebu nifafanulie maana makahaba wangekua waathirika no. moja

huyu wazir ni daktar professionally .lakin bado alikuwa anafafanua report iliyoletwa na tasisi hisiyo ya kiselikal
 
huyo waziri kasomea udaktari au kuna utafiti umefanywa yeye kaleta ripoti,hebu nifafanulie maana makahaba wangekua waathirika no. moja
Hili ni kweli , saratani ya shingo ya kizani kwa asilimia kubwa husababishwa na vimelea aina ya Human Papilloma virus (HPV zaidi type 16 na 18), hawa virusi wanasambazwa kwa njia ya zinaa. So mwanamke mwenye multiple sexual partners yuko kwenye hatari zaidi ya kupata uambukizo wa hawa virus na hatimae saratani ya shingo ya kizazi.

Uwe na mpenzi mmoja mwaminifu, tumia condom and acha.

Asnam, makahaba ni waathirika sana wa hii saratani.

Epidemiologists working in the early 20th century noted that cervical cancer behaved like a sexually transmitted disease. In summary:
  1. Cervical cancer was common in female sex workers.
  2. It was rare in nuns, except for those who had been sexually active before entering the convent. (Rigoni in 1841)
  3. It was more common in the second wives of men whose first wives had died from cervical cancer
 
Hili ni kweli , saratani ya shingo ya kizani kwa asilimia kubwa husababishwa na vimelea aina ya Human Papilloma virus (HPV zaidi type 16 na 18), hawa virusi wanasambazwa kwa njia ya zinaa. So mwanamke mwenye multiple sexual partners yuko kwenye hatari zaidi ya kupata uambukizo wa hawa virus na hatimae saratani ya shingo ya kizazi.

Uwe na mpenzi mmoja mwaminifu, tumia condom and acha.

Asnam, makahaba ni waathirika sana wa hii saratani.

Epidemiologists working in the early 20th century noted that cervical cancer behaved like a sexually transmitted disease. In summary:
  1. Cervical cancer was common in female sex workers.
  2. It was rare in nuns, except for those who had been sexually active before entering the convent. (Rigoni in 1841)
  3. It was more common in the second wives of men whose first wives had died from cervical cancer

hapa ndo umeniconvince haya mambo ya kuweka uzi bila kuweka maelezo ya kina ukizingatia ni sayansi we mi sikubali kirahisi.
 
mi naogopa sana hii migonjwa nilienda kwa dokta nikaomba nifanyiwe pap test akasema hadi nifike 30 ,eti wanawake chini ya hapo hawapati ni kweli mkuu?
cervical cancer ina peaks mbili, at 40yrs and at 60yrs. lakini huchukua miaka 10 mpaka 20 tangu maambukizi ya virusi vya HPV mpaka mtu kupata saratani ya shingo ya kizazi. So saratani ya shingo ya kizazi huja kwa stages kuanzia vile viashiria (pre-malignant stage) mpaka kuja kupata saratani yenyewe.

Siku za hivi karibuni hata wanawake wa miaka 20 - 30 hupata saratani hii, hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa ukimwi ambao hushusha kinga na kufanya wale virus wanaosababisha kansa wawe more aggressive na kusababisha saratani mapema.

Screening hufanywa ili kutambua viashiria na kutibiwa kabla havijawa kansa, kuna screening za aina nyingi, ipo hii iliyozoeleka ya pap smear, lakini zipo pia za VIA na VILI, hizi ni rahisi kufanywa na majibu unapata hapo hapo badala ya pap ambayo inakubidi usubiri mpaka kipimo kisomwe na pathologist ndio upewe majibu which takes sometimes.

Screening inaweza kufanywa kwa umri wa kuanzia miaka 25 mpaka 69 kwa sehemu nyingi zenye resources na facilities za kutosha. Huku kwetu huwa screening inafanywa kwa akina mama walio katika risk/ au wale ambao wako kwenye age ambayo kuna chance kubwa ya kukutwa na vile viashiria (pre-cancerous) lesion, ambayo ni age 30, hii ni kwa sababu hatuna resources za kutosha. Hata hivyo hii haimaanishi kwamba mwanamke akiwa ata 25 amekuja kuscreen umkatalie hapana, kwani siku hizi hata saratani yenyew imeshuka ki-umri na kuwapata wanawake wenye umri mdogo zaidi.

Kuna chanjo siku hizi zinazokinga maambukizi ya virusi wa HPV, ziko za aina mbili lakini nadhani kwa Tanzania tunayo Cervirax ambayo hukinga maambukizi ya virusi type 16 na 18 ambao husababisha asilimia 70 ya kansa ya kizazi. Ipo pia chanjo iitway gardasil ambayo hukinga maambukizi ya HPV type 6, 11, 16 na 18. Hawa 6 na 11 husababisha genital warts. Hata hivyo chanjo hizi huwa recommended zitolewe kwa wasichana ambao sio sexually active, na recommended age ni 9 - 15 years. Lakini yeyote anaefikiri kwamba hajaambukizwa hivi virusi anaweza kupewa chanjo hiyo, kama umeshaambukizwa hii chanjo haikusaidii, huzuia maambukizi haitibu maambukizi ambayo yameshatokea.

Smile labda umenipata.
 
Last edited by a moderator:
cervical cancer ina peaks mbili, at 40yrs and at 60yrs. Lakini huchukua miaka 10 mpaka 20 tangu maambukizi ya virusi vya hpv mpaka mtu kupata saratani ya shingo ya kizazi. So saratani ya shingo ya kizazi huja kwa stages kuanzia vile viashiria (pre-malignant stage) mpaka kuja kupata saratani yenyewe.

Siku za hivi karibuni hata wanawake wa miaka 20 - 30 hupata saratani hii, hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa ukimwi ambao hushusha kinga na kufanya wale virus wanaosababisha kansa wawe more aggressive na kusababisha saratani mapema.

Screening hufanywa ili kutambua viashiria na kutibiwa kabla havijawa kansa, kuna screening za aina nyingi, ipo hii iliyozoeleka ya pap smear, lakini zipo pia za via na vili, hizi ni rahisi kufanywa na majibu unapata hapo hapo badala ya pap ambayo inakubidi usubiri mpaka kipimo kisomwe na pathologist ndio upewe majibu which takes sometimes.

Screening inaweza kufanywa kwa umri wa kuanzia miaka 25 mpaka 69 kwa sehemu nyingi zenye resources na facilities za kutosha. Huku kwetu huwa screening inafanywa kwa akina mama walio katika risk/ au wale ambao wako kwenye age ambayo kuna chance kubwa ya kukutwa na vile viashiria (pre-cancerous) lesion, ambayo ni age 30, hii ni kwa sababu hatuna resources za kutosha. Hata hivyo hii haimaanishi kwamba mwanamke akiwa ata 25 amekuja kuscreen umkatalie hapana, kwani siku hizi hata saratani yenyew imeshuka ki-umri na kuwapata wanawake wenye umri mdogo zaidi.

Kuna chanjo siku hizi zinazokinga maambukizi ya virusi wa hpv, ziko za aina mbili lakini nadhani kwa tanzania tunayo cervirax ambayo hukinga maambukizi ya virusi type 16 na 18 ambao husababisha asilimia 70 ya kansa ya kizazi. Ipo pia chanjo iitway gardasil ambayo hukinga maambukizi ya hpv type 6, 11, 16 na 18. Hawa 6 na 11 husababisha genital warts. Hata hivyo chanjo hizi huwa recommended zitolewe kwa wasichana ambao sio sexually active, na recommended age ni 9 - 15 years. Lakini yeyote anaefikiri kwamba hajaambukizwa hivi virusi anaweza kupewa chanjo hiyo, kama umeshaambukizwa hii chanjo haikusaidii, huzuia maambukizi haitibu maambukizi ambayo yameshatokea.

smile labda umenipata.
thax mkuu ngoja nikapate chanjo
 
cervical cancer ina peaks mbili, at 40yrs and at 60yrs. Lakini huchukua miaka 10 mpaka 20 tangu maambukizi ya virusi vya hpv mpaka mtu kupata saratani ya shingo ya kizazi. So saratani ya shingo ya kizazi huja kwa stages kuanzia vile viashiria (pre-malignant stage) mpaka kuja kupata saratani yenyewe.

Siku za hivi karibuni hata wanawake wa miaka 20 - 30 hupata saratani hii, hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa ukimwi ambao hushusha kinga na kufanya wale virus wanaosababisha kansa wawe more aggressive na kusababisha saratani mapema.

Screening hufanywa ili kutambua viashiria na kutibiwa kabla havijawa kansa, kuna screening za aina nyingi, ipo hii iliyozoeleka ya pap smear, lakini zipo pia za via na vili, hizi ni rahisi kufanywa na majibu unapata hapo hapo badala ya pap ambayo inakubidi usubiri mpaka kipimo kisomwe na pathologist ndio upewe majibu which takes sometimes.

Screening inaweza kufanywa kwa umri wa kuanzia miaka 25 mpaka 69 kwa sehemu nyingi zenye resources na facilities za kutosha. Huku kwetu huwa screening inafanywa kwa akina mama walio katika risk/ au wale ambao wako kwenye age ambayo kuna chance kubwa ya kukutwa na vile viashiria (pre-cancerous) lesion, ambayo ni age 30, hii ni kwa sababu hatuna resources za kutosha. Hata hivyo hii haimaanishi kwamba mwanamke akiwa ata 25 amekuja kuscreen umkatalie hapana, kwani siku hizi hata saratani yenyew imeshuka ki-umri na kuwapata wanawake wenye umri mdogo zaidi.

Kuna chanjo siku hizi zinazokinga maambukizi ya virusi wa hpv, ziko za aina mbili lakini nadhani kwa tanzania tunayo cervirax ambayo hukinga maambukizi ya virusi type 16 na 18 ambao husababisha asilimia 70 ya kansa ya kizazi. Ipo pia chanjo iitway gardasil ambayo hukinga maambukizi ya hpv type 6, 11, 16 na 18. Hawa 6 na 11 husababisha genital warts. Hata hivyo chanjo hizi huwa recommended zitolewe kwa wasichana ambao sio sexually active, na recommended age ni 9 - 15 years. Lakini yeyote anaefikiri kwamba hajaambukizwa hivi virusi anaweza kupewa chanjo hiyo, kama umeshaambukizwa hii chanjo haikusaidii, huzuia maambukizi haitibu maambukizi ambayo yameshatokea.

smile labda umenipata.
genital warts nayo ni nini mkuu ?
 
Hili ni kweli , saratani ya shingo ya kizani kwa asilimia kubwa husababishwa na vimelea aina ya Human Papilloma virus (HPV zaidi type 16 na 18), hawa virusi wanasambazwa kwa njia ya zinaa. So mwanamke mwenye multiple sexual partners yuko kwenye hatari zaidi ya kupata uambukizo wa hawa virus na hatimae saratani ya shingo ya kizazi.

Uwe na mpenzi mmoja mwaminifu, tumia condom and acha.

Asnam, makahaba ni waathirika sana wa hii saratani.

Epidemiologists working in the early 20th century noted that cervical cancer behaved like a sexually transmitted disease. In summary:
  1. Cervical cancer was common in female sex workers.
  2. It was rare in nuns, except for those who had been sexually active before entering the convent. (Rigoni in 1841)
  3. It was more common in the second wives of men whose first wives had died from cervical cancer

Like like like
 
cervical cancer ina peaks mbili, at 40yrs and at 60yrs. lakini huchukua miaka 10 mpaka 20 tangu maambukizi ya virusi vya HPV mpaka mtu kupata saratani ya shingo ya kizazi. So saratani ya shingo ya kizazi huja kwa stages kuanzia vile viashiria (pre-malignant stage) mpaka kuja kupata saratani yenyewe.

Siku za hivi karibuni hata wanawake wa miaka 20 - 30 hupata saratani hii, hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa ukimwi ambao hushusha kinga na kufanya wale virus wanaosababisha kansa wawe more aggressive na kusababisha saratani mapema.

Screening hufanywa ili kutambua viashiria na kutibiwa kabla havijawa kansa, kuna screening za aina nyingi, ipo hii iliyozoeleka ya pap smear, lakini zipo pia za VIA na VILI, hizi ni rahisi kufanywa na majibu unapata hapo hapo badala ya pap ambayo inakubidi usubiri mpaka kipimo kisomwe na pathologist ndio upewe majibu which takes sometimes.

Screening inaweza kufanywa kwa umri wa kuanzia miaka 25 mpaka 69 kwa sehemu nyingi zenye resources na facilities za kutosha. Huku kwetu huwa screening inafanywa kwa akina mama walio katika risk/ au wale ambao wako kwenye age ambayo kuna chance kubwa ya kukutwa na vile viashiria (pre-cancerous) lesion, ambayo ni age 30, hii ni kwa sababu hatuna resources za kutosha. Hata hivyo hii haimaanishi kwamba mwanamke akiwa ata 25 amekuja kuscreen umkatalie hapana, kwani siku hizi hata saratani yenyew imeshuka ki-umri na kuwapata wanawake wenye umri mdogo zaidi.

Kuna chanjo siku hizi zinazokinga maambukizi ya virusi wa HPV, ziko za aina mbili lakini nadhani kwa Tanzania tunayo Cervirax ambayo hukinga maambukizi ya virusi type 16 na 18 ambao husababisha asilimia 70 ya kansa ya kizazi. Ipo pia chanjo iitway gardasil ambayo hukinga maambukizi ya HPV type 6, 11, 16 na 18. Hawa 6 na 11 husababisha genital warts. Hata hivyo chanjo hizi huwa recommended zitolewe kwa wasichana ambao sio sexually active, na recommended age ni 9 - 15 years. Lakini yeyote anaefikiri kwamba hajaambukizwa hivi virusi anaweza kupewa chanjo hiyo, kama umeshaambukizwa hii chanjo haikusaidii, huzuia maambukizi haitibu maambukizi ambayo yameshatokea.

Smile labda umenipata.

Thanx mkuu kwa somo. I hope wahusika waliokuwa na sintofahamu wameelewa.
 
Last edited by a moderator:
genital warts nayo ni nini mkuu ?
Kuna vivimbe au vinyama huwa vinaota sehemu za siri, viko kama vipele au chunusi na huwa vingi vingi huwa vingine kama miba miba hivi, havina maji wala usaha, haviumi na husababishwa na HPV type 6 na 11 kwa 90%.
 
Kuna vivimbe au vinyama huwa vinaota sehemu za siri, viko kama vipele au chunusi na huwa vingi vingi huwa vingine kama miba miba hivi, havina maji wala usaha, haviumi na husababishwa na HPV type 6 na 11 kwa 90%.
duuh k zina majanga hizi? umri gani hizi? na zinasababishwa na nini? dalili? na matibabu yake mkuu? pia madhara yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom