Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Mapema leo Katibu Mwenezi wa CCM Bw. John Chiligati amezungumzia kuhusu hali ya kisiasa ya Kenya na msimamo wa CCM. Pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Bw. Membe naye amezungumzia sakata hilo. Habari hiyo ipo kwenye Breaking News sasa hivi... kwenye KLH News of course..