Mwanakijiji tuko pamoja kwa hili ila binafsi nisingependa kuhukumu ila tuangalie njia muhimu za kufikisha moja kwa moja na nahisi hiyondio malalamiko ya wengi hapo juu...kuna wengi wanchukua michango hawafikishi inapotakiwa kakayangu na mwisho kutoleta maana ya kuchangisha na hivyo sawa na kuchangia NGO,,,BADO nasubiri kuona means ya kutuambia jinsi ya kuzifikisha moja kwa moja...kaka wabunge madiwani ni sumu ya mamba...kwenye michango..afadhali sumu ya panya unaweza kunywa maziwa ukatoka...mwana kijiji tuko pamoja kwa hili tusaiiane kuwaokoa wengi wameathirika na mvua..na tunavyoongea wala si mbali hapo ruvu kuna nyumba zaidi ya 15 zilikuwa za udongo zimeyeyuka..na watu wanaishi mashuleni...fwtailia hili...
mungu awalinde na magonjwa
mungu awalinde na magonjwa