niwaellyester1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 123
- 19
soko kuu la mjini mtwara hivi sasa linawaka moto na inaelezwa moto ni mkubwa sana, chanzo inaelezwa ni pasi ya mkaa... source radio one stereo
Japo simpendi wala kumsikia lakini hapa anaingiaje ?Poleni wahanga,Kikwete siyo chaguo la Watanzania na siyo chaguo la Mungu na haya hayatakoma Watanzania tumrudie Mungu wetu
ndugu watz sasa mmezidi kumwandama raiswenu au kwakua sio dikteta kama che nkapa ambae alikua mkali na mlikua mnaihara serikaliyake?mjue uvumilivu unamwisho,yaaniuzembe wa dobi kuachapasi mnasingizia rais,wacheni upuuzi huo.Poleni wahanga,Kikwete siyo chaguo la Watanzania na siyo chaguo la Mungu na haya hayatakoma Watanzania tumrudie Mungu wetu
hebu mwambie nawewe easymutant kilakitu kikwete kikwete,muacheni presidaa aongoze nchi sio kila mwenye kubanwa namavi akaharishe ktk uso wamkulu wa nchi,tupunguze chuki za hafidhina.Japo simpendi wala kumsikia lakini hapa anaingiaje ?