Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametoa nishani kwa waandishi wa habari mbalimbali ambao walifuatana na vikosi vya JWTZ kwenye Operesheni Demokrasia Komoro ambayo ilimng'oa Mohammed Bakari toka visiwa vya Anjouan ambako alikuwa amejitangazia serikali kinyume na serikali kuu ya shirikisho.
Nishani hizo zimevishwa kwa niaba ya Rais na Waziri wa Mambo ya Nje Bw. Bernard Membe ambaye alikuwa ni mmoja wa watetezi wa kubwa wa operesheni hiyo.
Mmoja wa waandishi waliopata tuzo hiyo ni Mroki Mroki ambaye ameweka picha na habari zaidi hapa MROKI MROKI BLOG
Nishani hizo zimevishwa kwa niaba ya Rais na Waziri wa Mambo ya Nje Bw. Bernard Membe ambaye alikuwa ni mmoja wa watetezi wa kubwa wa operesheni hiyo.
Mmoja wa waandishi waliopata tuzo hiyo ni Mroki Mroki ambaye ameweka picha na habari zaidi hapa MROKI MROKI BLOG