MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Imebainika kuwa sehemu 2/3 ya Polisi wa London ni wanene kupindukia.
Ili kuhakikisha ufanisi kazini, watalazimika kufanyiwa majaribio kila mwaka na ambaye hakukidhi kiwango cha unene kinachokubalika, atakatwa mshahara wa paundi 2,922 kwa mwaka (sawa na Tzs zaidi ya milioni 7) au kufukuzwa kabisa ikiwa ataendeleza nyam nyam.
Mimi nilidhani ni baadhi ya trafiki wetu wa Tanzania tu, kumbe hata majuu nako vitambi miongoni mwa polisi ni kitu cha kawaida. Kwa nini wanakuwa wanene kiasi hiki? Tanzania ina mpango gani wa kuwapiga landa kidogo?
Ili kuhakikisha ufanisi kazini, watalazimika kufanyiwa majaribio kila mwaka na ambaye hakukidhi kiwango cha unene kinachokubalika, atakatwa mshahara wa paundi 2,922 kwa mwaka (sawa na Tzs zaidi ya milioni 7) au kufukuzwa kabisa ikiwa ataendeleza nyam nyam.
Mimi nilidhani ni baadhi ya trafiki wetu wa Tanzania tu, kumbe hata majuu nako vitambi miongoni mwa polisi ni kitu cha kawaida. Kwa nini wanakuwa wanene kiasi hiki? Tanzania ina mpango gani wa kuwapiga landa kidogo?