kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Ni kuhusu maamuzi ya CCM kutaka mabadiliko.
Mkuu nadhani mfumo anaousema Nape ni internal control systems ndani ya serikali. Ushauri wa kubadilisha mifumo ama kuweka mipya inaweza kufanywa na CAG hasa wakati huu ambapo IAG Office haijawa full fledged. Kwa hiyo mkuu ukaguzi wa hesabu unaenda na kupendekeza mfumo mzuri ili mianya ya wizi/ubadhirifu iliyogunduliwa izibwe.NAPE: anasema tatizo si kubadilisha mawaziri, hata kama rais atamuweka nani kama mfumo utabaki hivi basi haya madudu yatajirudia, ndio maana tunataka CAG asiishie kutoa ripoti, tunataka CAG afike mbali ashauri mfumo. . . . . .
MY TAKE: unless sielewi nape anaongea nini, pamoja na kwamba nakubali kwamba mfumo mzima wa serikali yetu ni kichefuchefu kitupu, lakini unapoongelea mfumo wa utendaji kazi katika serikali CAG sio mtu sahihi wa kushauri hayo mambo, mfumo wa namna serikali inafanya kazi sio eneo la utaalamu wa CAG. Nape hajui kwamba ukaguzi wa mahesabu na mfumo wa ufanyaji kazi oserikalini ni vitu viwili tofauti kabisa?
NAPE: anasema tatizo si kubadilisha mawaziri, hata kama rais atamuweka nani kama mfumo utabaki hivi basi haya madudu yatajirudia, ndio maana tunataka CAG asiishie kutoa ripoti, tunataka CAG afike mbali ashauri mfumo. . . . . .
MY TAKE: unless sielewi nape anaongea nini, pamoja na kwamba nakubali kwamba mfumo mzima wa serikali yetu ni kichefuchefu kitupu, lakini unapoongelea mfumo wa utendaji kazi katika serikali CAG sio mtu sahihi wa kushauri hayo mambo, mfumo wa namna serikali inafanya kazi sio eneo la utaalamu wa CAG. Nape hajui kwamba ukaguzi wa mahesabu na mfumo wa ufanyaji kazi serikalini ni vitu viwili tofauti kabisa?
Mkuu nadhani mfumo anaousema Nape ni internal control systems ndani ya serikali. Ushauri wa kubadilisha mifumo ama kuweka mipya inaweza kufanywa na CAG hasa wakati huu ambapo IAG Office haijawa full fledged. Kwa hiyo mkuu ukaguzi wa hesabu unaenda na kupendekeza mfumo mzuri ili mianya ya wizi/ubadhirifu iliyogunduliwa izibwe.