Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki MUCE mkoani Iringa wameandamana kwenda kwa mkuu wa wilaya.Mida ya saa saba na nusu wananchi na wafanya biashara wa Iringa walijikuta wakiingiwa na wasi wasi baada ya polisi kuingilia kati maandamano kitu kilicho wafanya wanafunzi hao kutimua mbio.Up dates nitazitoa kadri ya uwezo wangu.