Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
mm naogopa usije ukatwambia magazeti yake ni kama injili,na wahariri wake ni akina Mathayo, Luka na Yohana.Inavyoonyesha yanaandika ukweli, kama kuna mtu kakashifiwa angeenda kutafuta haki yake mahakamani, kama hawakwenda, wamepima uzito! Ndio maana yeye katangulia. Nadhani yupo tayari kwa hilo, why do u doubt him?