Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Naibu Katibu wa chama cha wananchi (CUF) upande wa Bara Bw. Wilfred Lwakatare amehukumikwa kifungo cha miezi 15 baada ya kupatikana na hatia na makosa ya kufanya vurugu na kumtishia msimamizi wa uchaguzi... more news to come...